eneo lina ukubwa wa sqm 2007 (nusu heka)
lipo mbezi africana barabara ya sea breezes apartments kuelekea kunduchi
Eneo limetazana lami kabisa na lipo mahala pazuri kwa uwekezaji wa kibiashara
HATI IPO
linauzwa milioni 400 tu
mawasiliano 0677 818283
Plot ina ukubwa wa sqm 2007
Ipo mbezi beach africana zilipo apartments za sea breeze
Inafaa kujenga mall.. Ukumbi.. Maduka na majengo yoyote ya kibiashara na hata makazi
Eneo limezungushiwa uzio kabisa
BEI NI MILIONI 400 (Mazungumzo yapo)
Wasiliana nasi 0677 818283
NAUZA PLOT MBEZI BEACH AFRICANA (UPANDE WA BAHARI) - MILIONI 130 TU - 0677 818283
Kiwanja kipo mita 300 kutoka main road
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 800
Kipo tambarare na kimezungushiwa uzio
HATI MILIKI IPO
BEI NI MILIONI 130 TU (130,000,000/=)
0677 818283
Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata...
Mjengo huu una vyumba 4 vya kisasa MNOOOO ...vitatu ni self contained na kimoja ni master room
Nyumba Iina servant quater (nyumba ndogo ya pembeni yenye vyumba 2)
Nyumba ina sitting roo 2 moja ipo juu na nyingine chini .. Kuna dining room,public toilet,jiko , bacon pia imezungushiwa fence...
Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home.
Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia
Pale kona ya Makaburini Luventry nilikuta kijana mmoja na Girlfriend au Mke wake wamekatwa mapanga...
Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheleza hapa chini!
Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi.
Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi...
Wadau,
Kwa unyenyekevu naomba kufahamishwa kwa mtu yeyote anayejua shule yoyote ya msingi ya Kikristo iliyoko katika maeneo ya Goba, Mbezi au Madale, Kunduchi, au Mbezi Beach. Kama unafahamu shule ya namna hii iliyoko eneo lolote jingine Dar es Salaam. Naomba pia kufahamishwa ingawa kipaumbele...
NYUMBA 2 KWA PAMOJA ZINAUZWA....Mbezi beach
Ina vyumba 5 vitatu vya nyumba kubwa na vyote ni master na viwili vya nyumba ndogo (servant quarter)
Barabara ya lami mpaka mlangoni....(ipo barabarani kabisaa)
Nyumba ipo Mbezi beach.... INA HATI MILIKI
Eneo la kiwanja ni sqm 900
Umbali ni mita...
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini
Ina vyumba vitatu kimoja master
Jiko, sebule, dinning na public toilet
Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000
Hati miliki mkononi
Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283
Mawasiliano 0677 818283...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.