mbezi beach

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Magari Nusubei

    Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach Kwa Zena

    Ukubwa ni sqm 1115 Kipo Mbezi Beach kwa zena Bei ni milioni 260 tu HATI MILIKI IPO Mawasiliano 0677 818283
  2. Magari Nusubei

    Eno zuri za uwekezaji wa kibiashara linauzwa mbezi beach Africana

    eneo lina ukubwa wa sqm 2007 (nusu heka) lipo mbezi africana barabara ya sea breezes apartments kuelekea kunduchi Eneo limetazana lami kabisa na lipo mahala pazuri kwa uwekezaji wa kibiashara HATI IPO linauzwa milioni 400 tu mawasiliano 0677 818283
  3. Magari Nusubei

    Plot4Sale Plot ya kibiashara inauzwa Mbezi Beach Africana

    Plot ina ukubwa wa sqm 2007 Ipo mbezi beach africana zilipo apartments za sea breeze Inafaa kujenga mall.. Ukumbi.. Maduka na majengo yoyote ya kibiashara na hata makazi Eneo limezungushiwa uzio kabisa BEI NI MILIONI 400 (Mazungumzo yapo) Wasiliana nasi 0677 818283
  4. Magari Nusubei

    Plot inauzwa MBEZI BEACH Africana

    NAUZA PLOT MBEZI BEACH AFRICANA (UPANDE WA BAHARI) - MILIONI 130 TU - 0677 818283 Kiwanja kipo mita 300 kutoka main road Kiwanja kina ukubwa wa sqm 800 Kipo tambarare na kimezungushiwa uzio HATI MILIKI IPO BEI NI MILIONI 130 TU (130,000,000/=) 0677 818283
  5. Magari ya Biashara

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach - Africana (upande wa bahari)

    Kiwanja kipo Mbezi Beach Africana upande wa chini. Kina ukubwa wa sqm 800, HATI IPO Bei ni milioni 130 tu. WAHI SASAA. MAWASILIANO 0677 818283
  6. L

    Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

    Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata...
  7. Magari ya Biashara

    Mjengo mkali sana wa ghorofa unauzwa MBEZI BEACH

    Mjengo huu una vyumba 4 vya kisasa MNOOOO ...vitatu ni self contained na kimoja ni master room Nyumba Iina servant quater (nyumba ndogo ya pembeni yenye vyumba 2) Nyumba ina sitting roo 2 moja ipo juu na nyingine chini .. Kuna dining room,public toilet,jiko , bacon pia imezungushiwa fence...
  8. Pdidy

    Tanki Bovu maeneo ya Puma na Rainbow sio salama tena kutembea usiku

    Majuzi nilikuwa natoka msibani saa sita usiku kuelekea home. Nilipofika puma Tanki Bovu nashuka kuelekea Rainbow nilichokiona ni hatari kwa bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuwasaidia Pale kona ya Makaburini Luventry nilikuta kijana mmoja na Girlfriend au Mke wake wamekatwa mapanga...
  9. M

    Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

    Afande sina cha kueleza, taarifa zinajitosheleza hapa chini! Tukio la kusikitisha limetokea leo mchana maeneo ya Juliana Mbezi beach ambapo Jimson Kibiki amefariki baada ya kupigwa risasi. Kutokana na vyanzo vya mashuhuda Jimson alivamiwa alipokuwa ametoka bank na kuporwa na majambazi kiasi...
  10. M

    Naomba kufahamishwa Shule ya Msingi ya Kikristo iliyopo Goba, Mbezi, Madale, Kunduchi au Mbezi Beach

    Wadau, Kwa unyenyekevu naomba kufahamishwa kwa mtu yeyote anayejua shule yoyote ya msingi ya Kikristo iliyoko katika maeneo ya Goba, Mbezi au Madale, Kunduchi, au Mbezi Beach. Kama unafahamu shule ya namna hii iliyoko eneo lolote jingine Dar es Salaam. Naomba pia kufahamishwa ingawa kipaumbele...
  11. Magari ya Biashara

    House4Sale Mjengo unauzwa mbezi beach BEI YA KUTUPA LAMI INAFIKA MPAKA MLANGONI.Ukinunua unapewa na nyumba nyingine ya nyongeza

    NYUMBA 2 KWA PAMOJA ZINAUZWA....Mbezi beach Ina vyumba 5 vitatu vya nyumba kubwa na vyote ni master na viwili vya nyumba ndogo (servant quarter) Barabara ya lami mpaka mlangoni....(ipo barabarani kabisaa) Nyumba ipo Mbezi beach.... INA HATI MILIKI Eneo la kiwanja ni sqm 900 Umbali ni mita...
  12. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
Back
Top Bottom