Chuo cha Kiislamu cha Al Mustafa kilichopo maeneo ya Mbezi Beach Makonde, Jijini Dar es Salaam kinateketea kwa moto. Chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana.
=====
UPDATE:
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule amesema moto uliounguza Chuo cha AI Mustafa Mbezi Beach Dar es salaam usiku...
Juzi tarehe 2/2/2023 Mjumbe wa Shina namba 9 Mbezi Beach B Bw. Daudi anasema alipigiwa simu akiambiwa kuna mtu ambaye amefia kokoni, ambapo alipofika eneo la tukio akakuta kichwa cha mwanaume huyo kimetenganishwa na kiwiliwili.
Tukio hilo linaonekana kufanywa siku mbili au tatu kabla kutokana...
Wanabodi
Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu,
Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!.
Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!.
Mtanisame nili staafu uandishi wa...
Karibia 85% ya Ajali mbaya zinazotokea hapo Mataa ya Mbezi Beach Jirani na Kanisa la KKKT huwa zinachukua tu Uhai ( Zinaua ) Vijana ambao Wameshaanza Kutusua ( Kutoka ) Kimaisha.
Na kwanini zote ziwe ni eneo hilo hilo na hapo hapo Mataa upande wa Barabara ya Kuelekea Rainbow au pale kwa CDF...
"Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo...
1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road)
2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara
3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
A villa built on a chunk of 1600 square meters second row beach plot going for $ 500,000 abit negotiable.
FEATURES
-6 bedrooms (3 en suites)
-Kitchen
-Living area
-Dinning area
A manicured trimmed garden
Beautiful trees for fresh ventilation
For more info, plz kindly contact: Kitomai...
Haiingii Akilini nililishuhudia likibomolewa mwaka 2014 cha Kushangaza hadi leo mwaka 2022 lipo vile vile na kama Mwenye Jengo kaamua Kulisusia au Mamlaka nayo imeamua Kulisusia.
Tafadhali Mamlaka husika ama mumwambie mwenye Jengo alijenge upya au kama sasa lipo chini ya Mamlaka basi...
Ukubwa wa Kiwanja 1200 mita za mraba.
Kiwanja kipo eneo linalofikikika kirahsi kwani kuna barabara ya uhakika
Kiwanja kimepimwa kina Hati Miliki
Huduma za umeme na maji zipo.
Njoo tuzungumze namna ya kulipana kwa mkupuo au ndani ya muda fulani.
Bei njoo na bajeti yako tuzungumze...
Available on Lease / Rent Fully Furnished Independent Ground Floor Flat with 2 Bedrooms, 2 Bathrooms, 1 Dining Hall, Fully Loaded Kitchen and 2 Bathrooms
The Premises are ready to move in.
Interested to rent this home? Please schedule a day and time for viewing be calling or whatsapp +255755312233
Nyumba ina vyumba vinne vya kulala (vyote self), mahala pa kula, jiko, stoo na sebule. Vyumba vitatu vya kulala vipi chini kimoja masta kipo juu na sebule yake. Kodi shs 1,200,000 kwa mwezi.
Kuiona au maelezo zaidi wasiliana nami kwa simu/ whatsapp +255755312233.
Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, cha pili kutoka Ufukwe wa Bahari ya Hindi, kina Hati Miliki, uzuri mwingine wa hiki kiwanja kimezungukwa na barabara 2 upande wa mbele na upande wa nyuma. Kinauzwa Tsh 750 milion maongezi.
Piga simu au whatsapp kupanga kukiona +255755312233
Nyumba ina vyumba vinne vya kulala vyote vinajitoshereza (self contained), Masta ipo juu vyumba vingine vya kualala vipo chini. Kila chumba cha kulala kina madirisha makubwa mawili kiasi kwamba hakuna changamoto ya kupitisha mwanga wa kutosha na hewa. Nyumba ina viyoyozi na celling fans na kila...
Muda huu ni majira ya saa 8:33 usiku
Manyunyu yameanza kudondoka taratibu
Hali ya hewa imeanza kupoa taratibu kidogo
Tunasema kuwa Mungu ni Mungu kwani amesikia maombi yetu
Tupeni taarifa za maeneo mnayoishi hali ikoje
Aksanteni
Kwa kweli wadau wa JF ajali za Bodaboda boda zitatumaliza.
Kwa muda mfupi jijini Dar es Salaam kumetokea vifo vingi na ulemavu vilivyosababishwa na ajali za bodaboda.
Usafiri huu unapendwa sana na akina dada lakini ni hatari sana kwani madereva wengi wa bodaboda hawana leseni na hawafati...
Kama mwezi hivi umepita!
Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco!
Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake!
Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele...
Mjengo upo mbezi beach upande wa chini Mita 100 tu kutoka lami
Una vyumba 7 vyote self contained
Sitting room 2 juu na chini
Chini kuna dinning jiko na public toilet
Balcon juu ziko 2
Eneo ni sqm 1000 kubwa sanaa..
Ina fremu unayoweza kuweka ya kibiashara
Bei ni milioni 450 tu
Mawasiliano 0677...
Plot ina ukubwa wa sqm 2007
ipo mbezi beach Africana - SEA BREEZE
Imepakana na barabara kabisa
Panafaa kwa kujenga mall,ukumbi ,maduka ,apartments na hata makazi ya kuishi
BEI NI MILIONI 400 TU
MAWASILIANO 0677 818283
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.