mbezi beach

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sildenafil Citrate

    Chuo cha Kiislamu cha Al Mustafa Mbezi Beach Chateketea kwa moto

    Chuo cha Kiislamu cha Al Mustafa kilichopo maeneo ya Mbezi Beach Makonde, Jijini Dar es Salaam kinateketea kwa moto. Chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana. ===== UPDATE: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule amesema moto uliounguza Chuo cha AI Mustafa Mbezi Beach Dar es salaam usiku...
  2. R

    Mbezi Beach kwa Zena: Mwili wa mwanaume wagundulika, inadaiwa ameuliwa kwa kuchinjwa

    Juzi tarehe 2/2/2023 Mjumbe wa Shina namba 9 Mbezi Beach B Bw. Daudi anasema alipigiwa simu akiambiwa kuna mtu ambaye amefia kokoni, ambapo alipofika eneo la tukio akakuta kichwa cha mwanaume huyo kimetenganishwa na kiwiliwili. Tukio hilo linaonekana kufanywa siku mbili au tatu kabla kutokana...
  3. Pascal Mayalla

    Gari lalipuka Moto Mbezi Beach!. Hakuna Msaada Wowote wa Zimamoto/Wananchi ni Kukodoa tu Macho Kuangalia kama Sinema!

    Wanabodi Hii ni sasa hivi maeneo ya Mbezi Beach Tangi Bovu, Ingekuwa ni maeneo ya Uswazi watu angalau wangejitahidi kidogo, japo kusaidia kuzima kwa mchanga!, lakini haya maeneo ya kishure, washure wanakodolea tuu macho!. Zimamoto ndio usizungumzie kabisa!. Mtanisame nili staafu uandishi wa...
  4. GENTAMYCINE

    Kwanini ajali nyingi zinazotokea mataa Mbezi Beach huwa zinaua tu Vijana walioanza kufanikiwa kimaisha na kiutajiri?

    Karibia 85% ya Ajali mbaya zinazotokea hapo Mataa ya Mbezi Beach Jirani na Kanisa la KKKT huwa zinachukua tu Uhai ( Zinaua ) Vijana ambao Wameshaanza Kutusua ( Kutoka ) Kimaisha. Na kwanini zote ziwe ni eneo hilo hilo na hapo hapo Mataa upande wa Barabara ya Kuelekea Rainbow au pale kwa CDF...
  5. GENTAMYCINE

    Je, hi Taarifa kuwa Mtume Mwamposa 'Kaondolewa' Kawe na sasa anahamia Mbezi Beach Kona Baa ni za kweli?

    "Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo...
  6. J

    Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  7. agent 89

    House4Sale Nyumba inauzwa Mbezi Beach (Stand alone)

    Ni standalone 4bedrooms living room dinning kitchen area size 800sqm Asking price 280mil note...viewing charges is applied
  8. Kitomai

    House4Sale A villa for sale in Mbezi Beach

    A villa built on a chunk of 1600 square meters second row beach plot going for $ 500,000 abit negotiable. FEATURES -6 bedrooms (3 en suites) -Kitchen -Living area -Dinning area A manicured trimmed garden Beautiful trees for fresh ventilation For more info, plz kindly contact: Kitomai...
  9. M

    Mamlaka husika hilo Jengo lililobomolewa mwaka 2014 hapo Makonde jirani na Shekinah Garden linaachwa ili lipendezeshe Jiji na Mbezi Beach au?

    Haiingii Akilini nililishuhudia likibomolewa mwaka 2014 cha Kushangaza hadi leo mwaka 2022 lipo vile vile na kama Mwenye Jengo kaamua Kulisusia au Mamlaka nayo imeamua Kulisusia. Tafadhali Mamlaka husika ama mumwambie mwenye Jengo alijenge upya au kama sasa lipo chini ya Mamlaka basi...
  10. Kitomai

    Plot4Sale Kiwanja cha Sqm 1,200 kinauzwa Mbezi Beach - Dar

    Ukubwa wa Kiwanja 1200 mita za mraba. Kiwanja kipo eneo linalofikikika kirahsi kwani kuna barabara ya uhakika Kiwanja kimepimwa kina Hati Miliki Huduma za umeme na maji zipo. Njoo tuzungumze namna ya kulipana kwa mkupuo au ndani ya muda fulani. Bei njoo na bajeti yako tuzungumze...
  11. Kitomai

    House4Rent Fully Furnished 2 Bedrooms To Let at Mbezi Beach

    Available on Lease / Rent Fully Furnished Independent Ground Floor Flat with 2 Bedrooms, 2 Bathrooms, 1 Dining Hall, Fully Loaded Kitchen and 2 Bathrooms The Premises are ready to move in. Interested to rent this home? Please schedule a day and time for viewing be calling or whatsapp +255755312233
  12. Kitomai

    House4Rent Nyumba inapangishwa Mbezi Beach, Dar es Salaam

    Nyumba ina vyumba vinne vya kulala (vyote self), mahala pa kula, jiko, stoo na sebule. Vyumba vitatu vya kulala vipi chini kimoja masta kipo juu na sebule yake. Kodi shs 1,200,000 kwa mwezi. Kuiona au maelezo zaidi wasiliana nami kwa simu/ whatsapp +255755312233.
  13. Jidu La Mabambasi

    Ajali ya magari junction ya Salasala, Mbezi Beach na Kunduchi

    Hii imetokea leo asubuhi Salasala junction, Mbezi Beach/Kunduchi. Ile down ya Kunduchi, gari inaelekea imefeli breki.
  14. Kitomai

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach

    Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, cha pili kutoka Ufukwe wa Bahari ya Hindi, kina Hati Miliki, uzuri mwingine wa hiki kiwanja kimezungukwa na barabara 2 upande wa mbele na upande wa nyuma. Kinauzwa Tsh 750 milion maongezi. Piga simu au whatsapp kupanga kukiona +255755312233
  15. Kitomai

    House4Rent Nyumba ya Ghorofa Inapangishwa Mbezi Beach.

    Nyumba ina vyumba vinne vya kulala vyote vinajitoshereza (self contained), Masta ipo juu vyumba vingine vya kualala vipo chini. Kila chumba cha kulala kina madirisha makubwa mawili kiasi kwamba hakuna changamoto ya kupitisha mwanga wa kutosha na hewa. Nyumba ina viyoyozi na celling fans na kila...
  16. Uzalendo wa Kitanzania

    Taarifa njema ya kuanza kunyesha mvua muda huu Maeneo ya Mbezi Beach

    Muda huu ni majira ya saa 8:33 usiku Manyunyu yameanza kudondoka taratibu Hali ya hewa imeanza kupoa taratibu kidogo Tunasema kuwa Mungu ni Mungu kwani amesikia maombi yetu Tupeni taarifa za maeneo mnayoishi hali ikoje Aksanteni
  17. L

    Ajali za Bodaboda ni janga la taifa. Ajali nyingi kwa Dar ni Barabara ya Bagamoyo maeneo ya Mbezi Beach, Tegeta na Goba

    Kwa kweli wadau wa JF ajali za Bodaboda boda zitatumaliza. Kwa muda mfupi jijini Dar es Salaam kumetokea vifo vingi na ulemavu vilivyosababishwa na ajali za bodaboda. Usafiri huu unapendwa sana na akina dada lakini ni hatari sana kwani madereva wengi wa bodaboda hawana leseni na hawafati...
  18. M

    Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

    Kama mwezi hivi umepita! Baada ya kusikia bei ya umeme imeshuka, Nilimtuma mdogo wangu kuomba umeme pale afrikana Tanesco! Kwasababu nyumba ile anaishi mdogo wangu, hivyo nikamwambia aingize umeme kwa jina lake! Dogo alipofika pale ili kuchukua fomu, Alikikuta kidada cheupe hivi kina nywele...
  19. RealEstate Agent

    House4Sale Nauza mjengo wa ghorofa Mbezi Beach Una vyumba 7 vya kulala bei nafuu

    Mjengo upo mbezi beach upande wa chini Mita 100 tu kutoka lami Una vyumba 7 vyote self contained Sitting room 2 juu na chini Chini kuna dinning jiko na public toilet Balcon juu ziko 2 Eneo ni sqm 1000 kubwa sanaa.. Ina fremu unayoweza kuweka ya kibiashara Bei ni milioni 450 tu Mawasiliano 0677...
  20. RealEstate Agent

    Plot4Sale Inafaa kwa uwekezaji wa biashara ipo barabarani kabisa MBEZI BEACH

    Plot ina ukubwa wa sqm 2007 ipo mbezi beach Africana - SEA BREEZE Imepakana na barabara kabisa Panafaa kwa kujenga mall,ukumbi ,maduka ,apartments na hata makazi ya kuishi BEI NI MILIONI 400 TU MAWASILIANO 0677 818283
Back
Top Bottom