Mwezeshaji1
JF-Expert Member
- Sep 26, 2023
- 234
- 558
Mhh..ukiweza, usiache watoto mikono mitupu dunia iwachachafye.
(Hivi sisi tunazaa halafu watajijua mbele kwa mbele kwenye sehemu ambayo hata huduma za elimu na afya KUBWA unalipia😂?)
Kama hauna riziki unalala njaa KWELI, hakuna 'food stamps' wanazosemaga kwa wenzetu.
Wape elimu sawa, halafu jenga tunyumba, tubiashara hutu na tule ili wapate ahueni kupata shilingi, hali si shwari kwa waanza na moja alooh, kwa yote tunashukuru🙏🏿!
(Hivi sisi tunazaa halafu watajijua mbele kwa mbele kwenye sehemu ambayo hata huduma za elimu na afya KUBWA unalipia😂?)
Kama hauna riziki unalala njaa KWELI, hakuna 'food stamps' wanazosemaga kwa wenzetu.
Wape elimu sawa, halafu jenga tunyumba, tubiashara hutu na tule ili wapate ahueni kupata shilingi, hali si shwari kwa waanza na moja alooh, kwa yote tunashukuru🙏🏿!