Mawaziri saba na mshauri wa Rais wamethibitika kupata maambukizi ya Virusi vya Corona vinayosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu wa COVID-19. Inasemekana mawaziri hao watasafirishwa ili kupata matibabu nchini Kenya.
---
7 Cabinet Ministers in Burundi and a presidential advisor have tested...
Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika leo jijini Dar es Salaam kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)
Mkutano huo umefunguliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa...
Eid Mubarak wadau!
Kiukweli ni heri tu Mungu alituepushia vinginevyo hali ingekuwa tete.
Naiangalia kwa makini safu ya wabunge wa Chadema sipati picha eti hawa ndio wangekuwa mawaziri wetu. Labda Mnyika pekee na msemaji wa Ikulu Pascal Mayalla ndio wangeitoa kimasomaso.
Mawaziri wengine wote...
Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi.
Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp.
Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha.
Jee...
Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), limeridhia usafirishaji wa bidhaa muhimu katika ukanda huo wakati wa janga la homa ya mapafu (Covid-19) ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo kwa nchi wanachama.
Akizungumza katika Mkutano wa dharura wa Maafisa Waandamizi wa...
Naomba uchaguzi Mkuu mwaka 2020 ili liwe baraza la Mawaziri kwa maoni yangu, lakini pia unaweza kukosoa na kupendekeza manaibu wao.
Rais - Lissu (Chadema)
Waziri Mkuu - Juma Assad (Hana chama)
Makamo wa Rais - Bernard Membe (Hana chama)
Uchukuzi na Mawasiliano Bashe (CCM)
Waziri wa Mambo ya...
February 17, 2020
FULL HISTORIA YA MAMA SAMIA
Mama Samia anakubali hoja nzito za wapinzani, nilikataa pendekezo la kuwa Makamu wa Rais
Makamu wa Rais wa serikali ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu asema kilichomsukuma kuingia katika siasa ni maoni na hoja za mashiko za...
Hapa siwashitaki mawaziri na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali kwa Rais Magufuli, maana yeye mwenyewe yupo kote kote.
Ukweli ni kwamba Dodoma wapo watumishi na maafisa wa kawaida tu, wakuu zao huenda Dodoma kuchungulia na kufanya kazi zenye ulazima wa kufanyia huko tu.
Kila wiki tupo nao...
Tumejionea katika mvua hizi namna madaraja yanavyokatika kama chapati au keki. Ni aibu, mengine yana vinondo vya kama lenta za vibanda vya sokoni.
Hili halisemwi, ni kwanini? Nini kinafichwa. Ukiangalia barabara nazo zinazolewa na mvua za wastani tu.
Mifano ipo ya kutosha kuanzia Katavi...
Mawaziri wakuu wastaafu mzee Lowassa na Sumaye leo walikuwa kivutio kikubwa pale bungeni walipohudhuria sherehe za kukabidhiwa majoho yao maspika wastaafu Msekwa, Sitta na mama Makinda.
Mara baada ya kutambulishwa na Spika Ndugai wabunge waliweka itikadi za kisiasa pembeni na kuwashangilia kwa...
Hii ndio rekodi iliyoshtua wengi na haijavunjwa hadi leo
Ni pale Rais wa awamu ya pili mzee Ally Hassan Mwinyi alipoitisha kikao cha baraza la mawaziri pale Ikulu ya magogoni na kuwatangazia wajumbe wake kuvunjwa kwa baraza hilo.
Na walipotoka nje ya ukumbi mawaziri hao watumbuliwa walikuta...
Hii kauli niliisikia kwa Kigwangalla alidai vijana tufikirie nje ya box tufanye ujasiriamali lakini toka Rais amtaje kwamba anatakiwa kumaliza bifu zake la sivyo atachukua hatua jamaa anatumia nguvu nyingi kulinda cheo. Je, ni kweli na wao huwa hawafikirii nje ya box bali wanawalaumu vijana...
Dr Mrema aliweza kutimiza majukumu yake kiufanisi hadi kupandishwa cheo na kuwa Naibu Waziri mkuu.
Ni mbinu gani alizitumia mangi huyu katika kutimiza majukumu yake kwa ufanisi ambazo mawaziri wa zama hizi hawajazing'amua.
Waliofeli ni pamoja na Mwapachu, Lau Masha, Dr Nchimbi, Dr Kitwanga, Dr...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani Aandika barua ya Kujiuzulu.
Rais Magufuli akiwa anahutubia wakati wa ufunguzi wa nyumba za Askari Magereza, amesema kwamba..
Nampongeza sana Meja Jenerali, Kingu ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuwajibika kwamba ametambua. Na...
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na hata kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa rais wa zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau.
Tshisekedi amesema kuna baadhi ya Mawaziri ambao...
Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa.
Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumanne Januari 14, 2020 ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.