mawaziri

  1. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Burundi: Mawaziri saba wakutwa na Virusi vya Corona

    Mawaziri saba na mshauri wa Rais wamethibitika kupata maambukizi ya Virusi vya Corona vinayosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu wa COVID-19. Inasemekana mawaziri hao watasafirishwa ili kupata matibabu nchini Kenya. --- 7 Cabinet Ministers in Burundi and a presidential advisor have tested...
  2. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa baraza la Mawaziri wa SADC ngazi ya Makatibu wakuu wafanyika kwa njia ya Mtandao

    Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika leo jijini Dar es Salaam kwa njia ya Mtandao (Video Conferencing) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Mkutano huo umefunguliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Maafisa...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Sipati picha Lowassa angeshinda 2015 na mawaziri ndio hawa Lijualikali, mchungaji Msigwa na Massele!!

    Eid Mubarak wadau! Kiukweli ni heri tu Mungu alituepushia vinginevyo hali ingekuwa tete. Naiangalia kwa makini safu ya wabunge wa Chadema sipati picha eti hawa ndio wangekuwa mawaziri wetu. Labda Mnyika pekee na msemaji wa Ikulu Pascal Mayalla ndio wangeitoa kimasomaso. Mawaziri wengine wote...
  4. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania Kurejeshwa kwenye Cabinet kwa mawaziri Simbachawene na Mwigulu - tatizo ni bulb au holder?

    Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi. Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp. Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha. Jee...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baraza la Mawaziri SADC, Laridhia Usafirishaji wa Bidhaa Muhimu, Kudhibiti Maambukizi ya Corona

    Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), limeridhia usafirishaji wa bidhaa muhimu katika ukanda huo wakati wa janga la homa ya mapafu (Covid-19) ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo kwa nchi wanachama. Akizungumza katika Mkutano wa dharura wa Maafisa Waandamizi wa...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Baraza la Mawaziri kivuli - Mbatia out

    Katiba baraza jipya lililotangazwa na Kiongozi wa kambi rasmi bungeni , Wabunge wote wa Cuf pamoja na Mbunge wa NCCR MAGEUZI ndugu Mbatia wametoswa .
  7. Kizinga mpemba

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Naomba Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 hili liwe Baraza la Mawaziri

    Naomba uchaguzi Mkuu mwaka 2020 ili liwe baraza la Mawaziri kwa maoni yangu, lakini pia unaweza kukosoa na kupendekeza manaibu wao. Rais - Lissu (Chadema) Waziri Mkuu - Juma Assad (Hana chama) Makamo wa Rais - Bernard Membe (Hana chama) Uchukuzi na Mawasiliano Bashe (CCM) Waziri wa Mambo ya...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Ikulu: Rais Magufuli aongoza kikao cha baraza la mawaziri

    Rais Magufuli leo ameongoza kikao cha baraza la mawaziri Ikulu jijini Dsm. Source TBC
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kimenuka: Mawaziri na Wabunge ambao ni Team Membe kupukutishwa

    Hii itaturudisha nyuma hadi mwaka 2015 wakati wa kura za maoni ndani ya ccm , ni nani na nani waliomuunga mkono ?
  10. B

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Mama Samia: Wapinzani wana hoja nzuri, zisizojibiwa na Mawaziri

    February 17, 2020 FULL HISTORIA YA MAMA SAMIA Mama Samia anakubali hoja nzito za wapinzani, nilikataa pendekezo la kuwa Makamu wa Rais Makamu wa Rais wa serikali ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu asema kilichomsukuma kuingia katika siasa ni maoni na hoja za mashiko za...
  11. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Ofisi zimehamishiwa Dodoma pamoja na watumishi ila Mawaziri na Wakuu wa taasisi wapo Dar es Salaam

    Hapa siwashitaki mawaziri na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali kwa Rais Magufuli, maana yeye mwenyewe yupo kote kote. Ukweli ni kwamba Dodoma wapo watumishi na maafisa wa kawaida tu, wakuu zao huenda Dodoma kuchungulia na kufanya kazi zenye ulazima wa kufanyia huko tu. Kila wiki tupo nao...
  12. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Ujenzi na Mawasiliano katika kipindi cha miaka 10 iliyopita wawajibike: Barabara na madaraja mengi yalijengwa chini ya kiwango

    Tumejionea katika mvua hizi namna madaraja yanavyokatika kama chapati au keki. Ni aibu, mengine yana vinondo vya kama lenta za vibanda vya sokoni. Hili halisemwi, ni kwanini? Nini kinafichwa. Ukiangalia barabara nazo zinazolewa na mvua za wastani tu. Mifano ipo ya kutosha kuanzia Katavi...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wakuu wastaafu Lowassa na Sumaye watinga bungeni, wabunge waweka itikadi pembeni wawashangilia kwa shangwe

    Mawaziri wakuu wastaafu mzee Lowassa na Sumaye leo walikuwa kivutio kikubwa pale bungeni walipohudhuria sherehe za kukabidhiwa majoho yao maspika wastaafu Msekwa, Sitta na mama Makinda. Mara baada ya kutambulishwa na Spika Ndugai wabunge waliweka itikadi za kisiasa pembeni na kuwashangilia kwa...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Rekodi isiyofikiwa: Rais Mwinyi aitisha kikao cha Baraza la Mawaziri na kulivunja, mawaziri waondoka Ikulu wakitembea kwa miguu

    Hii ndio rekodi iliyoshtua wengi na haijavunjwa hadi leo Ni pale Rais wa awamu ya pili mzee Ally Hassan Mwinyi alipoitisha kikao cha baraza la mawaziri pale Ikulu ya magogoni na kuwatangazia wajumbe wake kuvunjwa kwa baraza hilo. Na walipotoka nje ya ukumbi mawaziri hao watumbuliwa walikuta...
  15. technically

    JamiiForums Tanzania Mawaziri wa Bongo wakitumbuliwa kwanini huwa hawafikirii nje ya boksi?

    Hii kauli niliisikia kwa Kigwangalla alidai vijana tufikirie nje ya box tufanye ujasiriamali lakini toka Rais amtaje kwamba anatakiwa kumaliza bifu zake la sivyo atachukua hatua jamaa anatumia nguvu nyingi kulinda cheo. Je, ni kweli na wao huwa hawafikirii nje ya box bali wanawalaumu vijana...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Dr Augustino Lyatonga Mrema aliwezaje kuimudu Wizara ya Mambo ya Ndani inayowashinda Mawaziri wengi?

    Dr Mrema aliweza kutimiza majukumu yake kiufanisi hadi kupandishwa cheo na kuwa Naibu Waziri mkuu. Ni mbinu gani alizitumia mangi huyu katika kutimiza majukumu yake kwa ufanisi ambazo mawaziri wa zama hizi hawajazing'amua. Waliofeli ni pamoja na Mwapachu, Lau Masha, Dr Nchimbi, Dr Kitwanga, Dr...
  17. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

    Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya ndani Aandika barua ya Kujiuzulu. Rais Magufuli akiwa anahutubia wakati wa ufunguzi wa nyumba za Askari Magereza, amesema kwamba.. Nampongeza sana Meja Jenerali, Kingu ambaye alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kuwajibika kwamba ametambua. Na...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania DRC Rais Felix Tshisekedi atishia kuwafuta kazi Mawaziri

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na hata kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa rais wa zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau. Tshisekedi amesema kuna baadhi ya Mawaziri ambao...
  19. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

    Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
  20. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam: Rais Magufuli aongoza kikao cha Baraza la Mawaziri

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumanne Januari 14, 2020 ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
Back
Top Bottom