johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Hii ndio rekodi iliyoshtua wengi na haijavunjwa hadi leo
Ni pale Rais wa awamu ya pili mzee Ally Hassan Mwinyi alipoitisha kikao cha baraza la mawaziri pale Ikulu ya magogoni na kuwatangazia wajumbe wake kuvunjwa kwa baraza hilo.
Na walipotoka nje ya ukumbi mawaziri hao watumbuliwa walikuta madereva na magari yao hawapo. Ndipo baadhi kama Waziri wa fedha, Utumishi, Elimu na Ardhi walitembea kwa miguu kurudi wizarani kufungasha na wengine walikodi taxi pale ofisi za bunge.
Nawatakia Dominica yenye furaha.
Maendeleo hayana vyama!
Ni pale Rais wa awamu ya pili mzee Ally Hassan Mwinyi alipoitisha kikao cha baraza la mawaziri pale Ikulu ya magogoni na kuwatangazia wajumbe wake kuvunjwa kwa baraza hilo.
Na walipotoka nje ya ukumbi mawaziri hao watumbuliwa walikuta madereva na magari yao hawapo. Ndipo baadhi kama Waziri wa fedha, Utumishi, Elimu na Ardhi walitembea kwa miguu kurudi wizarani kufungasha na wengine walikodi taxi pale ofisi za bunge.
Nawatakia Dominica yenye furaha.
Maendeleo hayana vyama!