Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,691
- 218,201
Katiba baraza jipya lililotangazwa na Kiongozi wa kambi rasmi bungeni , Wabunge wote wa Cuf pamoja na Mbunge wa NCCR MAGEUZI ndugu Mbatia wametoswa .
Ila katiba mpya iko palepaleUkawa imekufa rasmi.
Magufuli kishakwama , aliahidi kuua Chadema kabla ya 2020 , kashindwa !Hapa hata magufuli kawapiga bao. Maana kwenye nafasi za uongozi anao hadi waliokuwa upinzani na kugombea uraus kama kina anna mghwira.
Mbowe ye ukitofautiana nae tu ujue out. Hana uvumilivu wa kisiasa. Acha Magufuli awanyooshe tu maana wao wangeshika dola wangenyanyasa sana watesi wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haupo sahihi mkuuSiasa za Tanzania kichekesho sana.
Si upinzani wala CCM ni vituko tupu.
Sasa bunge lenyewe ni la mwisho kabla ya serikali mpya, hao mawaziri vivuli wapya watakao ziba nafasi hizi watafanya nini?
Na wa zamani waliotemwa wangekuwa na athari gani?
Kuna wakati unatakiwa kuwaacha watu kama hao na kutumia nafsi hiyo kujiimarisha kisiasa kwa kujisifu majukwaani hawa walitutendea ubaya huu lakini kwa vile sisi wakomavu wa kisiasa na sio watu wa visasi tumewaacha kwenye nafasi hizi ingiwa sababu na uwezo wa kuwatosa kama kisasi tulikuwa nao.
Mambo madogo kama haya ya uvumilivu ndiyo yana kuwezesha kuvuna pointi muhimu kwenye siasa, hasa kwenye masanduku ya kura.
You can act like you live what you preach.
Wapiga kura ni watu wa ajabu sana, wanaweza kukupa kura sababu umewataja kwa majina angalau watu wawili tu wa kawaida wa eneo lao, au umewapa msamaha watu waliokutendea ubaya.
Huenda sipo sahihi kabisa katika hili, ngoja niamini KUB yupo sahihi.
Katiba na Tume huru ni kama kawaUkawa imekufa rasmi.
Inakuja mkuu , Sugu katetea nafasi yake , Profesa J ndani , wanawake waula zaidiWeka majina na hizo wizara na vivuli wake.
Hao wabunge vivuli wana privilege gani bungeni ?View attachment 1407132
Katiba baraza jipya lililotangazwa na Kiongozi wa kambi rasmi bungeni , Wabunge wote wa Cuf pamoja na Mbunge wa NCCR MAGEUZI ndugu Mbatia wametoswa .
Mkuu mimi wala sikubishii ila naziangalia hatua zenu kwenda huko tume huru kama kweli zitawafikisha.Katiba na Tume huru ni kama kawa
kabla ya kuuliza swali lako uliwahi kujiuliza kwanini wameingia bungeni ?Hao wabunge vivuli wana privilege gani bungeni ?
Kila mbunge yupo pale kumuwakilisha aliyemfanya awe pale.kabla ya kuuliza swali lako uliwahi kujiuliza kwanini wameingia bungeni ?
Na Bunge limeshaishaUkawa imekufa rasmi.
basi hayaKila mbunge yupo pale kumuwakilisha aliyemfanya awe pale.