johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Eid Mubarak wadau!
Kiukweli ni heri tu Mungu alituepushia vinginevyo hali ingekuwa tete.
Naiangalia kwa makini safu ya wabunge wa Chadema sipati picha eti hawa ndio wangekuwa mawaziri wetu. Labda Mnyika pekee na msemaji wa Ikulu Pascal Mayalla ndio wangeitoa kimasomaso.
Mawaziri wengine wote wangekuwa full uzushi.
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli ni heri tu Mungu alituepushia vinginevyo hali ingekuwa tete.
Naiangalia kwa makini safu ya wabunge wa Chadema sipati picha eti hawa ndio wangekuwa mawaziri wetu. Labda Mnyika pekee na msemaji wa Ikulu Pascal Mayalla ndio wangeitoa kimasomaso.
Mawaziri wengine wote wangekuwa full uzushi.
Maendeleo hayana vyama!