MATUMIZI ya muda mrefu kwa kiwango cha uzito wa gramu 120 ya kungumanga, inaweza kuleta madhara kwa mtumiaji, kama kuchanganyikiwa, matatizo kwenye mapigo ya moyo na kusababisha kifo.
Hayo yameelezwa bungeni jana katika majibu ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa...