GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Na nyie Wanaume wenzangu hebu muwe Kwanza mnaangalia na Wanawake wa Kuwaowa na si Kukurupuka kama hivi hatimaye Mkeo mwenyewe ambaye umemtolea Mahari, Unamlisha, Unamvalisha na kumpa Huduma zote Stahili halafu leo anazikata kabisa( Korodani ) zako Kikatili hivi.
Wanawake wa Siku hizi ‘ Mmerogwa ‘ na nani?
Habari kamili Soma Gazeti la Mtanzania la leo tarehe 11 April, 2020 Ukurasa wa Pili.
Wanawake wa Siku hizi ‘ Mmerogwa ‘ na nani?
Habari kamili Soma Gazeti la Mtanzania la leo tarehe 11 April, 2020 Ukurasa wa Pili.