Jamani tunaomba msaada wa kuwapata watanzania wahitimu Master degree in Physics, Chemistry, Biology and Maths kufundisha undergraduates, Stella Maris Mtwara Univ. College. First degree awe amesomea somo hilo, mfano chemistry, biology etc.
Awe ana mimimum GPA ya 3.5 @ 1at degree & 4 @ M. Sc...
Wakuu, nawasalimu!
Naomba nisaidiwe kuhusu suala la hapo juu. Nimeyaona matokeo fulani ya mwanafunzi ambaye amepata alama 'F' kwenye Basic Mathematics lakini amepata daraja la kwanza la alama 16.
S............
F
16
I
CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'B' FREN - 'D' PHY -...
Kwa mara nyingine nawaletea tena fursa hii adhimu.
Tunahitaji mwalimu wa somo la Mathematics (preferably male) ambae atafundisha primary school iliyopo Zanzibar.
Shule ina mazingira mazuri sana ya utendaji kazi.
Working hours: 8 hours per day
Number of students in the class: Not more than 24...
Sorry wakubwa wang wa jf nimebahatika kuchaguliwa kozi za science in quantity survey and construction economics pal ardh pia science ya mathematics and statistics pale udom..kozi zote nazipenda na pia nazikubali but nilikua naomben ushaur zaid ipi iko poa zaidi hapoo kwa mwenye uelewa zaidi...
Habari wana JF,
Shule ya sekondari ya ST. MONICA WINO GIRLS inatafuta mwalimu wa Physic na mathematics..
Andika Barua ya maombi na uambatanishe wasifu wako CV kwenda:
OFISI YA MKUU WA SHULE,
SHULE YA SEKONDARY ST. MONICA WINO GIRLS,
S. L. P 69,
MADABA.
au
stmonicawino2019@gmail.com au...
Habari za muda huu wakubwa, I hope mko fresh kabisa, safi kama safi, safi kama poa, Poa kama good, Hivi kama hivi yaani..Anyways acha niende direct kwenye mada.
Bas bhana kuna teacher mmoko enzi za Masekondari uko ambae siezi msahau alikua na wenge shazi pia alikua hodari kinyax kwenye...
Message:
This is special for mathematics and things related to mathematics. If you have any quiz in mathematics, just bring it i will help if not me some also can help.
And if you are a teacher or any that can solve welcome we help our generation. Me from Form One to Form Three
Other friends...
Habari wakuu...mimi ni mwalimu wa Mathematics level yangu ya elimu ni Bachelor degree, natafuta kazi ya kufundisha katika shule yoyote.naweza kufanya kazi mkoa wowote Tanzania lakini napendelea zaidi mkoa wa Kilimanjaro or Arusha. Kama kuna mtu anafahamu shule yoyote yenye uhitaji wa mwalimu wa...
Wakuu,
Chachu Ombara alikuwa ananiulizia kama online namuona Madame B . Mara sijakaa sawa nikapokea Ujumbe wa mathematics akimuulizia ladyfurahia. Kwamba amemiss mambo na kelele nyingi.
Nikasema ngoja nitumie nafasi kutafuta mke. Nipendeni jamani, mi single father.
Ila usiku wa jana...
WanaJF ninaomba kwa yeyote anayejua mahali Bookshop ya vitabu vya hesabu vya A-level hapa jijini Mbeya ninaomba anijuze! Ninatafuta vitabu vya Tranter, Shayo na Backhouse
DAAD in Germany is offering scholarships for DAAD PhD scholarship in Mathematics in Industry and Commerce (MIC) at the Technical University of Kaiserslautern in 2020.
The MIC programme was launched in 2006. Like the predecessor programmes MSc Industrial Mathematics and the Sandwich PhD...
Habari humu!! Hi post pia nitaiweka na kule kwenye jukwaa la elimu sababu pia inahusu masula ya elimu.
Ningependa kuanza moja kwa moja kwamba nimetengeneza app hii kwa ajil ya kumsaidia mzazi/mlezi/mwalimu/kaka/dada kumpa mtoto mazoezi kwenye somo la hisabati mda ambao upo busy na shughuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.