mathematics

  1. A

    Tatizo la ufaulu duni wa masomo ya Mathematics na Physics bado halijaeleweka!

    Niende moja kwa moja kwenye mada. Kutokana na takwimu za Ufaulu wa masomo ya Physics na Mathematics zilizotolewa baada ya matokeo ya Mtihani wa kidato cha Pili kutangazwa, Physics na Mathematics zinaburuza wanafunzi. Tatizo hili lipo tangu kitambo, japo kuna wale waliobahatika kufundishwa na...
  2. R

    Tuongee science kidogo: Why is the principle of simple common sense not accepted in mathematics?

    Tupumzishe siasa kidogo kwa ku refresh mind with intellect thinking. Angali common sense kwanini haikubaliki always kwenye maths and other fields of science. Common sense itakwambia kuwa kila inapoongezeka dot moja, maumbo yanakuwa mara dufu! Lakini inapotokea dot sita, common sense inakuwa...
  3. R

    Tukumbushane hesabu kidogo! We need mathematics in our daily life

    Can all the laws of physics be expressed as a set of mathematical equations? Yes, Mambo ya kufikirika :D :D :D :D :D :D :D :D :D Albert Einstein giving a lecture on relativity at a historically black university in 1946. His peers scrutinized him for it and the press ignored it...
  4. itakiamo

    Basic Mathematics and Advanced Mathematics examination series

    Hello ndugu zangu , katka kurudisha fadhila kwa jamii nimepata wazo LA kupost basic mathematics series na advanced mathematics series kila siku ya jumamosi. Wanafunzi katka vidato husika endapo watafanya mitihani hiyo ni vyema wanitumie mitihani yao PM kwa mfumo was PDF na nitawawasahihishia...
  5. Prakatatumba abaabaabaa

    Nashauri somo la physics liwe option kuanzia form one, mathematics liwe option pia

    Au mwalimu mpwayungu village unasemaje? Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi. 1. PHYSICS A - 0.4% (2,519) B - 0.77% (4,874) C - 4.73% (29,851) D - 12.30% (77,586) F - 81.79% (515,734) 2. MATHEMATICS A - 1.96% (12,389) B - 1.35%...
  6. ajent45

    Natafuta kazi ya ualimu wa shule binafsi kwa masomo ya Physics na Mathematics kwa ngazi ya O-level

    Habari zenu wa ndugu, Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho. Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
  7. enelisamwakapala

    Mwalimu wa Chemistry na Mathematics anahitajika

    1.Anahitajika mwalimu anayeweza kufundisha o level Chemistry na Mathematics 2.Starting salary 400,000/= wakati wa probation ya miezi mitatu 3.Shule iko kibaha 4.Nitumie Cv yako inbox
  8. Nyuki Mdogo

    Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

    Kuna scientific calculator na Calculator ya simu. Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
  9. Ubungo Mataa

    Mwalimu wa Mathematics na Chemistry (Levels zote)

    Kama unahitaji home tuition kwa mwanao kwa masomo tajwa hapo juu basi upo mahali sahihi. Nakuja nyumban kwa maeneo yote ya Karibu na Kimara, Mbezi, Ubungo, Kawe mpka Tegeta na Bunju, Masaki, Kurasini Airpot, Goba, Mikocheni n.k DM ipo wazi, Karibu.
  10. Infantry Soldier

    SoC02 Wanafunzi wa mchepuo wa sanaa (Arts) kidato cha tatu na nne wapunguziwe idadi ya mada (topics) katika masomo kama "Biology" na Hisabati (Mathematics)

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya. UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI. Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
  11. Uhakika Bro

    Utetezi wa uumbaji kimahesabu na kifizikia: Mathematician's and theoretical physicist appeal to creation

    Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!! Someni hii scientific...
  12. KENZY

    Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

    Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..? Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!. Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu...
  13. Jamii Opportunities

    Mathematics and PE Teacher at Al Muntazir Schools

    The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and it comprises of five Schools spreading over three campuses, providing education at Toddlers, Nursery...
  14. P

    Natafuta kazi ya kufundisha masomo physics na mathematics

    Naitwa Pastory Augustino Nipo morogoro Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee, Level yangu ni diploma
  15. M

    Mtabe wa mathematics na masomo ya science kwa secondary nipo hapa

    Habari za mda huu wadau wa JamiiForums, Mimi ni Kijana. Naishi Dar es Salaam. Natafuta wanafunzi wa kuwafundisha tuition mfumo wa TABLE TEACHING. MASOMO YA KUFUNDISHA O-level : Physics, Chemistry, na Basic Mathematics. A-level : Advanced Mathematics pekee OMBI Ewe mdau hususan wazazi/walezi...
  16. politicians

    Mathematics lovers,wapenda hesabu vitabu vinauzwa

    Habari wadau,kwa wale wapenda hesabu tuna vitabu tunauza kwa bei rahisi Tsh.30000/=,vyote hivyo,tucheki 0687234549.
  17. The Genius

    Natafuta kazi, nina Bachelor ya Statistics, Research and Mathematics

    Wakuu Salaam, Nina Bachelor ya Statistics, Research and Mathematics. Ninatafuta kazi yoyote ile. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM
  18. Mkaruka

    Hivi mnaosoma kozi kama Bsc in Physics, Bsc in Chemistry, Bsc in Mathematics huwa mnapanga kuja kuwa kina nani hasa?🤣

    Hawa wasomi wanashangaza. Hivi ninyi ni walimu?🤣 Hivi taaluma yenu mnaijua kweli. Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ? Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣 Anyway, mimi sijui.
  19. Teargas

    Tanzania is planning to take their Mathematics teachers back to school

    This is because they don't understand most topics in mathematics hence resulting in students mass failure in mathematics exams. Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la hesabu. Hatua hiyo ni baada ya Serikali...
  20. Jamii Opportunities

    Physics & Mathematics Teacher at Grace Secondary School

    Position: Physics & Mathematics Teacher Overview Job Category: Education/ Academic/ Teaching Job Type: Full-Time Duty Station: Coast Region Posted: 14th April, 2021 No of Jobs: 1 JOB DETAILS/DESCRIPTION: Grace Secondary School is seeking professional, hard-working and qualified teacher with...
Back
Top Bottom