Niende moja kwa moja kwenye mada. Kutokana na takwimu za Ufaulu wa masomo ya Physics na Mathematics zilizotolewa baada ya matokeo ya Mtihani wa kidato cha Pili kutangazwa, Physics na Mathematics zinaburuza wanafunzi.
Tatizo hili lipo tangu kitambo, japo kuna wale waliobahatika kufundishwa na...
Tupumzishe siasa kidogo kwa ku refresh mind with intellect thinking.
Angali common sense kwanini haikubaliki always kwenye maths and other fields of science.
Common sense itakwambia kuwa kila inapoongezeka dot moja, maumbo yanakuwa mara dufu!
Lakini inapotokea dot sita, common sense inakuwa...
Can all the laws of physics be expressed as a set of mathematical equations?
Yes,
Mambo ya kufikirika :D :D :D :D :D :D :D :D :D
Albert Einstein giving a lecture on relativity at a historically black university in 1946. His peers scrutinized him for it and the press ignored it...
Hello ndugu zangu , katka kurudisha fadhila kwa jamii nimepata wazo LA kupost basic mathematics series na advanced mathematics series kila siku ya jumamosi.
Wanafunzi katka vidato husika endapo watafanya mitihani hiyo ni vyema wanitumie mitihani yao PM kwa mfumo was PDF na nitawawasahihishia...
Au mwalimu mpwayungu village unasemaje?
Hii ni thathmini fupi ya masomo ya physics na mathematics kwenye matokeo ya form two yaliyotoka juzi.
1. PHYSICS
A - 0.4% (2,519)
B - 0.77% (4,874)
C - 4.73% (29,851)
D - 12.30% (77,586)
F - 81.79% (515,734)
2. MATHEMATICS
A - 1.96% (12,389)
B - 1.35%...
Habari zenu wa ndugu,
Mimi ni kijana wa miaka 29 nina degree ya ICT na pia nina advance diploma in education na nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka minne sasa kwenye shule fulani ya serikali hapa dar kwa mkataba wa kujitolea na malipo madogo ya posho.
Nina ujuzi wa kutosha wa kuwapa watoto...
1.Anahitajika mwalimu anayeweza kufundisha o level Chemistry na Mathematics
2.Starting salary 400,000/= wakati wa probation ya miezi mitatu
3.Shule iko kibaha
4.Nitumie Cv yako inbox
Kama unahitaji home tuition kwa mwanao kwa masomo tajwa hapo juu basi upo mahali sahihi. Nakuja nyumban kwa maeneo yote ya Karibu na Kimara, Mbezi, Ubungo, Kawe mpka Tegeta na Bunju, Masaki, Kurasini Airpot, Goba, Mikocheni n.k
DM ipo wazi, Karibu.
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Mimi Infantry Soldier nipo mzima wa afya.
UTANGULIZI: MUUNDO WA MFUMO WA ELIMU NCHINI TANZANIA KWA UFUPI.
Mfumo wa elimu wa kitaifa kwa hapa Tanzania una ngazi kuu nne. Kwanza miaka saba ya elimu ya msingi ya lazima (kuanzia umri wa miaka sita)...
Leo nilikuwa natafuta swali la jumla ya idadi ya nishati ulimwenguni, imepelekea kunistua na kuyumbisha concept ya draga ya God is the ENERGY na kuipaisha concept ya a4afrika ya God is the LOGIC. Na kuibakisha imara kabisa concept ya Uhakika Bro ya kwamba God is the IDEA!!
Someni hii scientific...
Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..?
Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!.
Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu...
The Al Muntazir Schools are managed under the auspices of KSIJ Central Board of Education, a Non-Profit Organization, providing quality education to students from multicultural backgrounds and it comprises of five Schools spreading over three campuses, providing education at Toddlers, Nursery...
Naitwa Pastory Augustino
Nipo morogoro
Naomba kama kunamtu anafahamu sehemu yenye uhitaji wa mwalimu wa masomo tajwa anisaidie aisee,
Level yangu ni diploma
Habari za mda huu wadau wa JamiiForums,
Mimi ni Kijana. Naishi Dar es Salaam. Natafuta wanafunzi wa kuwafundisha tuition mfumo wa TABLE TEACHING.
MASOMO YA KUFUNDISHA
O-level : Physics, Chemistry, na Basic Mathematics.
A-level : Advanced Mathematics pekee
OMBI
Ewe mdau hususan wazazi/walezi...
Hawa wasomi wanashangaza.
Hivi ninyi ni walimu?🤣
Hivi taaluma yenu mnaijua kweli.
Hivi inakuwaje mtu anaenda kusoma kozi chuoni ambayo hajui mwisho wa siku hajui atakuwa nani ?
Au ni ilimradi tu "boom" lipo na kitaa wanakujua uko chuo🤣
Anyway, mimi sijui.
This is because they don't understand most topics in mathematics hence resulting in students mass failure in mathematics exams.
Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia Julai Mosi itaanza kutoa mafunzo kazini, ikiwamo mbinu za ufundishaji wa somo la hesabu.
Hatua hiyo ni baada ya Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.