maswali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi atueleze kutoka Trilioni 360 hadi bilioni 700

    Kosa moja siku zote linaloendelea kutugharimu basi ni kusikiliza bila kuelewa hatupo tayari kusikiliza tumejianda kujibu kila wakati. Inawezekana hii ni tabia yetu ya kutotafuta Ukweli, binafsi suala la Makinikia nimekuwa nikilifahamu hata kabla ya Mhe. Magufuli kuliweka kwenye meza ya...
  2. Webabu

    JamiiForums Tanzania Maswali yazuka ushindi wa Ukraine.Kadyrov asema hakuna eneo lililokombolewa.

    Ikiwa ni siku chache tangu habari zisambae kuhusu Ukraine kuwarudisha nyumba askari wa Urusi na kukombolewa kwa kilomita mraba zaidi ya 8000 imefahamika kuwa hizo ilikuwa ni habari za uzushi.Mwanzo imejulikana kupitia raisi Kadyrov wa Chechnya ambaye ni mshirika mkubwa wa raisi Putin.Amesema...
  3. Myahudi Jr II

    JamiiForums Tanzania Watabe wa Physics naombeni msaada haya maswali chap chap, sijiamini na majibu

    Note: Swali la 3 nishagugo nikapata
  4. B

    JamiiForums Tanzania Musoma: Raia wawatuhumu TRA kugonga raia wakiwa wanafukuza magendo

    Musoma, Tanzania Waziri Mwigulu Nchemba apigwa maswali mazito na wananchi mkoani Mara Wakaazi wa Sirari Rorya wasema wanamtambua vizuri hata mawe na majabali ya (mawe) kote nchini yaandikwa mwigulu rais ktk ya kampeni za urais 2015. Baada ya sofa hizo waelezea fani na kamatakamata...
  5. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Suala la Juma Mgunda, TFF wamezidisha maswali zaidi kuliko majibu au ufafanuzi walioutowa

    Taarifa ya TFF ndio hiyo, yani hapo ndio wametowa ufafanuzi Sasa ufafanuzi wao unazalisha maswali zaidi kuliko awali. 1. Kuna makocha wamehitimu mafunzo na wana Leseni class A ya CAF, halafu kuna orodha ya makocha 21 akiwemi Juma Mgunda wamehitimu mafunzo lakini hawana Leseni. Sasa swali la...
  6. Phobia

    JamiiForums Tanzania Msaada wa maswali ya oral and written interview ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute

    Kwema? Jamani samahani kama kuna anaweza nisaidia maswali ya usahili wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete oral pamoja na written.
  7. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini

    Naomba Msaada wa maswali ya written interview na oral ya Office assistant kwa serikalini. Natanguliza shukrani zangu
  8. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa maswali haya Chebukat anaweza kukimbia nchi

    TOUGH QUESTIONS ASKED BY JUDGES AT THE SUPREME COURT THAT NEEDS 15MINS RESPONSE....👇👇 1. How many votes were stray and how were they distributed? 2. Did you have any instance where voters walked in and voted for the president alone? 3. 225 stations didn't use kiems, how many were they in...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Swali magumu uchaguzi Kenya

    Tarehe 5 ndiyo siku ya Ruling. Nakumbuka uchaguiz wa 2017 hukumu ilikuwa na page kama 500 hivi. sasa kuanzia kesho wata deliberate submissions za pande zote na kuandika hukumu ? Ku analyse ushahidi wote and make sense out of it, Just sense and not a matter of sense! Siku kama 3 hivi.....
  10. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Maswali na Majibu yote kutoka Mahakama Kuu kuhusu Pingamizi la Matokeo ya Urais

    Githu Muigai: Waangalizi wote walirudi na hitimisho moja. Huu ulikuwa uchaguzi wa wazi na wazi. Githu Muigai: Ningekuhimiza uwaulize mawakili ikiwa wanafurahia uchaguzi wao wenyewe. Ikiwa wamefurahi, basi inakuwaje uchaguzi huu una dosari? Githu Muigai: Katika mahakama hii, kuna magavana...
  11. Jerlamarel

    JamiiForums Tanzania Sensa ya watu na makazi: Maswali ambayo hayakupaswa kuwepo kwenye dodoso

    Hii ni sensa ya watu na makazi, lengo kuu la sensa ni kupanga maendeleo ya muda mrefu. Unapoingiza siasa kwenye dodoso utaishia kupata data ambazo ni useless ndani ya mwaka tuu. Pia kuna data zingine ambazo tayari serikali na vyombo vyake wanazo, sikuona haja ya kuwepo kwenye dodoso, ni...
  12. 2019

    JamiiForums Tanzania Kwa maswali haya sina imani na sensa tena

    Mpaka sasa sijahesabiwa ila kwa maswali haya sitaki kumwona karani nyumbani kwangu 1. Unalipa kodi au umepanga,kama ni kodi unalipa sh ngap? Swala la kodi linamuusu nini? 2. Mmachinga au mlipa kodi? Dah!!! Ndoa yenu ina amani au mgogoro?
  13. Akili Unazo!

    JamiiForums Tanzania Haya Maswali hayatakuwa duplicate of Numbers Kwenye hii Sensa

    D. MASWALI YA 64 HADI 68 NI KWA WANAWAKE WENYE MIAKA 10 AU ZAIDI 64. Je, ulishawahi kuzaa watoto hai katika maisha yako/yake? -------------------- 65. Je, umezaa watoto hai wangapi wa kiume na wangapi wa kike wanaoishi na wewe/yeye katika kaya hii?---- Hili halina shida. 66. Je, umezaa watoto...
  14. Ileje

    JamiiForums Tanzania Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

    Kwanza maswali ni mengi bila sababu ya msingi halafu mengi ni ya kijinga na kipuuzi. Ingewezekana kabisa kuwa na dodoso lenye maswali machache na ya msingi. Baadhi ya maswali wangeachiwa watendaji wa mitaa/vijiji wakisaidiwa na wenyeviti wao kwani ni ya kifamilia zaidi na yanahitaji utulivu...
  15. Influenza

    JamiiForums Tanzania Maswali 100 ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ORODHA YA MASWALI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 Maswali yote ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanatakiwa kujibiwa na Mkuu wa Kaya husika, isipokuwa MASWALI YA HALI YA UZAZI kuanzia swali Namba 67 hadi 71 ambayo yanatakiwa yajibiwe na mwanamke...
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Maswali ya waandishi wa habari wetu kwa makocha na wachezaji ni ushahidi wa elimu ndogo

    Baadhi ya Waandishi habari wetu wana walakini ya wazi kabisa. Maswali yao kwa makocha na wachezaji wa nje na ndani yanamtia kichefuchufu hata msikilizaji. Wanaiangusha taaluma ya habari, hayana weledi kabisa. Pia hawajui kiingereza lakini wanataka kuwahoji wachezaji wa timu ngeni.
  17. RAFA_01

    JamiiForums Tanzania JF imekuwa ikinijibu maswali yangu mengi mpaka nimeamua kuingia mazima

    Habari kila mmoja, Nimekuwa nikipitia baadhi ya nyuzi za JF kwa mda sasa nimekuwa nikipata majibu ya maswali yangu, sambamba na vicheko, maana kuna members humu wana excellent sense of humour na mimi napenda utani mzuri. Basi kusema hayo nmeamua nijiunge na huu mtandao ulio wa kipekee kwa aina...
  18. system hacker

    JamiiForums Tanzania Wale wa Kiswahili nimekwama maswali hapa. Tusaidiane

  19. system hacker

    JamiiForums Tanzania Wale wa Civics njooni tupige maswali hapa

  20. system hacker

    JamiiForums Tanzania Wale wa namba (Maths) tupeane sapoti hapa. Maswali hayaendi kabisa.....

Back
Top Bottom