mashabiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tea Party

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya mashabiki wa WCB inanikera sana

    Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hii tabia very chronic kutoka kwa mashabiki na machawa wa WCB ya kuhusianisha kila kitu na streaming numbers ili kujustify ujinga wao. We all know kwamba Diamond huwa anaiba na kusample ngoma za watu wengine. Sasa watu wakimchana Diamond ukweli mashabiki...
  2. Nelson Jacob Kagame

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu zangu juu ya Migogoro ya Waarabu na Wayahudi

    Wanasema uzee dawa na ni kuona mengi katika maisha ya ubinadamu. Nakumbuka miaka hiyo ya 1965, nilikuwa kijana mdogo kabisa na nikifuatilia kwa karibu mzozo wa Mashariki ya Kati. Nilibahatika kuishi jijini Cairo na jijini Damascus na Beirut, na nilikuwa naona maandamano na miadhara ya kila siku...
  3. May Day

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki Limbukeni na Wajuaji

    Siku chache zilizopitanilingia matatani baada ya kumtandia ngumi "mlevi" mmoja aliyekuwa anatukana hovyo matusi ya nguoni Wachezaji kwenye Luninga huku akijua fika kuwa hawamsikii bali anatusumbua tu sisi tuliopo pale kufuatilia mechi. Utashangaa Mtu anavyomkosoa Kocha mpaka unajiuliza hivi...
  4. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa mpira ni watu wanafiki Sana,,..

    Walivyokuwa wanamprovoke Maguire pale United mambo yalipokua hayaendi sawa walijua ndio mwisho,Saivi gari limebadilika wanajisahaulisha.. Simba vs P.dynamo mashabiki walibeza Sub ya Bocco alivyofanya jambo wakashangilia. Aziz ki walimbeza Leo kafunga hat trick wanamuona mtu... Ilishamtokea...
  5. Sultan MackJoe Khalifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii wiki hali ya mashabiki wa Yang ni mbaya kuliko maelezo

    hii ni wiki ya mateso,dhoruba,milipuko ya moyo na presha kupanda kwa mashabiki wa Utopolo. mashabiki wa Utopolo wanaumizwa na mafanikio ya Simba. kuna mmoja katangaza kwa uchungu kuachana na soka,tukio kubwa la soka Tanzania la uzinduzi wa michuano mikubwa Africa yeye kutokuwepo imemuuma...
  6. Sultan MackJoe Khalifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ahmed Ally umeshamaliza kila kitu, huna deni kwa mashabiki wa Simba

    Ahmedy Ally a.k.a mzee wa kispika sumu ya panya, a.k.a Semaji la FIFA na CAF ufunguzi wa African football Leaugue kwa Mkapa. Huna baya kaka, una weledi na kipaji kikubwa cha kufanya kazi yako, kilichobaki ni sisi mashabiki kutimiza wajibu wetu kwenye club yetu kubwa Africa mashariki na kati...
  7. Kilimbatz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Majibu ya nani mwenye mashabiki wengi kati ya Simba na Yanga

    Kuna member ameuliza swali la nani kati ya Simba na Yanga ana mashabiki wengi. Uchunguzi wangu ulijikita katika takwimu za mitandaoni (online) ambazo ni rahisi kuzipata. Next time nitajitahidi kuleta takwimu za mitaani kupitia sensa ya mtu kwa mtu. Baada ya kuzurura katika mitandao ya X, Insta...
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani anamashabiki wengi, Simba au Yanga?

    Simba na Yanga ni timu kongwe zenye mashabiki na wafuasi wengi hapa nchini na hata nje ya nchi. Kila timu hutamba kwa upande wake kuwa ni Bora kuliko timu nyingine. Unadhani kwa sasa timu gani Ina mashabiki wengi?
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga mlianza kwa ngekewa, mashabiki wenu wakawa na jeuri. Kiko wapi?

    Ile bahati ya kukutana na timu dhaifu na kuzifunga magoli mengi basi mkaanza kuota viburi. Sasa ligi ndio imeanza rasmi. Na huko hatua ya makundi hakuna timu kama Zalan. Yaani maji mtaita “mma” endeleeni kuchonga sasa.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa filamu za Harry Potter waomboleza kifo cha Sir Michael Gambon (Professor Dumbledore)

    Taarifa za kifo cha muigizaji huyu Sir Michae Gamboni maarufu kama Professor Albus Dumbledore kilitangazwa na familia yake jana tar 28/9/2023. Mwigizaji Sir Michael Gambon amefariki kwa amani hospitalini akiwa na umri wa miaka 82, familia yake ilisema. Sir Michael alikuwa maarufu kwa mashabiki...
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi Identity ya Aziz K si ni Kukunja Bukta tu, sasa iweje leo Mashabiki tunaambiwa tubebe Funguo Viunoni mwetu kama Wanyasa?

    Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo Fito zako kwani Mashabiki wote Watakimbia Chama la Wazi' Stadium Mbagala na kuwaachieni Timu yenu...
  12. USSR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gari lililobeba Mashabiki wa Namungo lapata ajali na kusababisha vifo vya wanne

    Kuna taarifa za kusikitisha za vifo vya mashabiki wa Namungo wakielekea Dar kwenye match ya Yanga vs Namungo Leo ambapo gari lao lilipata ajali njiani Leo mabingwa yanga watakutana na namungo saa Moja usiku USSR
  13. Leak

    JamiiForums Tanzania Msanii Ruby atoa wimbo! Aomba support ya Mashabiki “YATAPITA”

    Baada ya kutrend na sakata la kuombwa Ngono,Leo msanii Ruby ameona sio mbaya akatumia upepo huo kutoa wimbo unaoitwa “YATAPITA” na ametumia muda huu kuwaomba mumsapoti…. Pamoja na hilo imeonekana kama alitaka kiki ilikutoa wimbo wake mpya.
  14. VanDon

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Simba na Yanga leo kuna kulia na kucheka au kucheka na kulia

    Leo hii kila shabiki wa timu hizo mbili anafanya maombi ya kupata matokeo mazuri. Nilichokipenda kwenye mechi za leo ni muda mmoja timu zote zinaingia uwanjani. Baada ya dakika 90 mbivu na mbichi zitajulikana.
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 85% ya Mashabiki wa Yanga SC walioenda Kigali Rwanda wamelala katika Mabasi yao

    Na sababu Kubwa ni kutokana na Hoteli nyingi kuwa za Gharama huku Wao ( Mashabiki ) wakiwa na Hela pungufu. Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimezipata kutoka Jijini Kigali Rwanda ni kwamba nje ya Mashabiki Kulala ( Kimasikini na Kiuhuruma ) Ndani ya Mabasi Mikweche yao pia hata katika...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga SC walioenda Rwanda: Kutokujua kwetu Kiingereza kunatupa wakati mgumu hapa Kigali

    "Alex Luambano kiukweli nchi ni nzuri na tumefika Salama hapa Kigali Rwanda, ila tatizo Kubwa tunalolipata ni wengi wetu kurokujua Lugha ya Kiingereza kiasi kwamba tunalanguliwa mno Bei ya Taxi" amesema Mtangazaji Mkazuzu wa Kipindi cha Michezo cha Sports Extra cha Clouds FM dakika chache tu...
  17. mdukuzi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga ni jobless? Mnapata wapi muda wa kuzurura hadi Rwanda

    Kijana ambaye yuko busy anapataje muda wa kuzurura wiki nzima. Vijana 500 kwa wiki nzima hawako kazini ni hasara kwa taifa
  18. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Yanga huwa wanafanya kazi gani wenzetu?

    Kila mechi wapo, si ya nyumbani wala ugenini. Kwasasa hata mechi za kimataifa nje na Tanzania wapo. Huwa wanafanya kazi zao muda gani? Na huwa wanafanya kazi gani? Au ndio wana vibanda vya urithi Makumbusho?
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CCM Sengerema yapeleka mashabiki Rwanda

    Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza. Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
  20. PakiJinja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mechi ya pili tangu kuanza kwa ligi, lakini Mashabiki wa Yanga wanadhani zimebaki mechi mbili kumaliza

    Kwa kiwango na mfumo wanaoenda nao Yanga tangu mechi za Majaribio msimu huu, hadi mechi za ushindani, ni ukweli ulio dhahiri kwamba Yanga ipo kwenye form nzuri sana. Hali ikiendelea hivi kwa mechi tatu zijazo, basi walio chini itabidi wakaze buti tu na wamfuate hukohuko juu, kumsubiri chini...
Back
Top Bottom