Ninajiuliza tu huko kwa mabeberu walivyo na demokrasia ya hali ya juu.
Hivi tukiamua kumshitaki kwa amani tu na upendo Rais wetu inawezekana ili na wao serikali yetu wakae mguu sawa katika uwajibikaji kwa wananchi inawezekana?
Na kama inawezekana miaka minne sasa Serikali yetu imefanya vizuri...
Waziri wa Mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo amesema nchi yake inapinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Uhalifu Kivita ICC wa kufungua uchunguzi dhidi ya uhalifu unaotuhumiwa kufanywa na Israel.
Pompeo amesema hatua hiyo iliyotangazwa jana na mwendesha mashtaka mkuu wa...
Ninajiuliza tu huko kwa mabeberu walivyo na demokrasia ya hali ya juu.
Hivi tukiamua kumshitaki kwa amani tu na upendo Rais wetu inawezekana ili na wao serikali yetu wakae mguu sawa katika uwajibikaji kwa wananchi inawezekana?
Na kama inawezekana miaka minne sasa Serikali yetu imefanya vizuri...
Nimeinasa kwenye Mitandao ya Kijamii ya usembassytz kuhusu Kaimu balozi wa Marekani kwenda Kumtembelea na kumtakia heri ya Sikukuu Mke wa Muandishi wa Habari za Uchunguzi Azory Gwanda ambaye Alitoweka miaka kadhaa hadi sasa kwa kuchukuliwa nyumbani kwake usiku na Watu wasiojulikana (Siwezi...
Waandamanaji walikusanyika mjini New York, Marekani hapo jana kwa lengo la kushinikiza kushitakiwa na kuondolewa madarakani rais Donald Trump.
Mkusanyiko huo unafanyika katika kipindi kifupi kabla ya leo hii, siku ambayo Baraza la Wawaikilishi linatarajiwa kupiga kura kuridhia hatua ya...
December 16, 2019
Mwanzilishi wa JamiiForums akizungumzia kuhusu tuzo aliyopewa hivi karibuni na jinsi mtandao huu unavyokabiliana na hali ngumu ya kutenda kazi hasahasa tukiangazia mazingira ya sasa Tanzania.
Hofu inajengwana na waandishi wenyewe lakini kama mitandao inafuata sheria na kanuni...
Rais wa zambia, Edgar Lungu ameandika barua kwa serikali ya marekani kutaka kuondoshwa kwa balozi wa nchi hiyo nchini zambia.
Hatua hiyo imekuja baada ya balozi huyo wa marekani nchini zambia Bw. Daniel Foote kunukuliwa akitoa maoni yanayopinga adhabu ya kifungo cha jela miaka 15 waliyopewa...
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesitisha kwa kiasi fulani mafunzo ya marubani wa kijeshi kutoka Saudi Arabia kufuatia lile shambulizi katika kambi ya kijeshi ya Marekani mjini Florida.
Kulingana na wizara hiyo wanajeshi hao zaidi ya mia tatu hawatapokea mafunzo yoyote hadi taarifa zaidi...
Bunge la Marekani limepitisha muswada ili kupambana na vile wanavyovisema kuwa ni vikwazo visivyo na mantiki, mateso na unyanyasaji kwa waislamu wa jamii ya Uighur nchini China.
Imelenga vile vikwazo vinavyowalenga wanachama wa serikali ya China na kumtaja kiongozi wa chama cha kikomunisti...
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.
Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya...
Taasisi ya Charities Aid Foundation ya Uingereza imeitaja Marekani kama nchi yenye roho nzuri (most generous country) Duniani, ikifuatiaa na Myanmar na New Zeeland huku nchi zenye watu wachoyo zaidi ikiwa ni China, Yemen na Ugiriki.
Kwa Afrika nchi kama Kenya, Zambia na Sierra Leoni zikishika...
Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umependekeza ushuru wenye thamani ya dola bilioni 2.4 dhidi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka Ufaransa kama jibini na mikoba ya wanawake, kulipiza kisasi hatua ya Ufaransa ya kuyatoza kodi makampuni maarufu ya kidigitali kutoka Marekani, kama Google, Amazon...
China imesitisha ziara ya manowari ya Marekani na kuiwekea vikwazo asasi moja ya Kimarekani, ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi kutokana na kusainiwa kwa muswada unaowaunga mkono waandamanaji wanaodai demokrasia mjini Hong Kong.
Mji huo wa Hong Kong ulio kitovu cha biashara, umekumbwa na machafuko...
Trump akaidi kushiriki katika kikao cha uchunguzi dhidi yake
Wakili wa rais Donald Trump wa Marekani amesema Ikulu ya White House haitashiriki katika kikao cha uchunguzi bungeni Jumatano ijayo, ambacho kitatafakari uwezekano wa kupitisha kipengele cha kumfungulia mashtaka rais huyo.
Wakili...
Watu 9 wakiwemo watoto 2 wamefariki katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika jimbo la Dakota ya kusini nchini Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na vyombo vya habari vya Marekani, ndege moja ndogo ilianguka muda mfupi baada ya kuruka. Tukio hilo lilitokea katika mji wa Chamberlain...
Akizuru kambi ya kikosi cha jeshi la wanaanga la Marekani huko Bagram, Rais wa Marekani Donald Trump amekutana naRais wa Afghanistan Ashraf Ghani na kula chakula cha jioni na askari wa Marekani.
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza wakati wa ziara yake ya kushtukiza usiku katika kambi ya...
Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wake Nchini Tanzania imetoa tamko lake kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 24, 2019
Imedai kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi kwa kiasi kikubwa waliwatenga Wagombea kutoka vyama vya Upinzani katika mchakato wa Uchaguzi huo
Imeeleza kuwa hali...
Ni kisa cha kusikitisha ambacho kimemkumba Peter Oloo Aringo Junior mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu Kenya Mzee Peter Oloo Aringo aliyepata kuhudumu kama mbunge na waziri ktk serikali ya Kenya.
Kama tujuavyo wanasiasa wa Kenya waliofikia ngazi za kuhudumu ktk baraza la mawaziri wengi wao...
Watu walikuwa wamehudhuria sherehe ya kifamilia kwenye uwanja wa nyuma wa nyumba yao walivamiwa na mtu asiyejulikana aliyeanza kuwamiminia risasi. Polisi wa Mjini Fresno, Califonia wameripoti.
Polisi waliitikia wito mida ya saa mbili usiku baada ya kupokea taarifa ya tukio hilo kutoka kwa watu...
Mzuka wanajamvi!
Njaa iliyoko Iran inatisha sasa hivi. Chakula chao kikuu wali na mayai vimeadimika. Kuna ufukara wa aina yake. Hii ni kutokana na vikwazo vya uchumi Marekani ameweka.
Wanaoteseka sana ni akina mama. Pedi ama taulo za wanawake hamna kupatikana shida. Serikali inabana waandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.