Zitto na Lissu mko wapi kulaani yanayotokea huko Marekani

mfianchi

Platinum Member
Jul 1, 2009
11,855
8,253
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Wewe Mwenyekiti wako ameshalaani?
 
download.jpg

Zitto yupo upande wa Bi. Nancy sio wa Ni**r
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Maafisa wa Ubalozi wa US wanawaangalia. Wewe unaweza kumkosoa/kumsema mdhamini wako?
Naomba taarifa hii iwafikie, wamekuwa wakitumia refference ya US na washirika wake. Siku yakitokea Kama ya R.I.P Akwilina, wasifungue midomo yao. Tumetunza video clips na picha zote, zinazoonyesha ukatili wa wafadhili wao dhidi ya watu weusi na matumizi ya nguvu kupita kiasi kudhibiti waandamanaji.
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Kuna nchi inaitwa Sudan kusini, Kuna waafrika wanauwa waafrika wenzao kwa maelfu kila siku. Hamjalaani mko kimya Sasa kisa tukio limetokea kwa wazungu huku Tanzania lituhusu, acheni ujinga Kuna Nkurunziza wanauwa waafrika wenzao kisa madaraka mko kimya. Uchaguzi wa Burundi aliuwa waafrika 1500 na wengine 400000 walikimbia wengi wakaingia kigoma wakiwa wakimbizi
Hamkuja mitandaoni au kuandamana. Leo huyo mmoja anathamani kuliko maelfu ya waafika tena majirani na ndugu zetu wanaouwawa kila siku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Hayawahusu.
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Wakiongea tu cheque zinasimamishwa! Puppets hawawezi kuwasema Mbwaba zao
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
tuanze na wewe mwenyewe kwanza.
kama kimekuuma sana, mbona hujaandamana kulaani huo ukandamizaji wa haki?
 
Uliambiwa Zitto na Lissu ni Wamarekani? Mashwali mengine bwana!
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
 
Hata balozi tu zilizoko huko sidhani kama zimelaani chochote mpaka sasa.

Ingekuwa bongo hako ka-Betina kangeshahara na matamko yasiyoisha.
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Hakuna cha kulaani pale. In short uongozi wa Donald J. Trump unakosa point na hekima ya uongozi kwny kui-handle ile inshu. Although mimi mwnyw ni fan wake sana ila kwa hapa simkubali kabisa yani.
Majibu ya Trump ni mabaya sana kwa wamarekani na anawahesabu kwamba wanaoandamana wote ni magaidi(ANTIFA-The Left Movement). Kitu ambacho si kweli.
For that case, anazidi kuwaongezea hasira watu wote. Angetakiwa aongee nao kwa upole na atoe ORDER ya kuukamatwa kwa wale askari WOTE waliohusika na yale mauaji. Au angewaita wawakilishi wachache wa waandamanaji(wale wanaojielewa, maana wapo) awaulize wanataka nini hasa. Kama jambo linatekelezeka kisheria angelifanya tu, mambo mengine yaendlee. Maana ukicheck hali inayoendlea sasa, ni mbaya sana. Recovery ya kiuchumi yenyewe ndo kwaanza ilikuwa inaanza toka kwny corona, ndo wanachoma moto biashara za watu sasa. SMH!
 
Nilidhani ''watetezi wa haki za binadamu'' wangekuwa mstari wa mbele kulaani yanayotokea Marekani ,bahati mbaya hawayaoni hayo,kisa ni baba yao ndio anayafanya hayo''mazuri'' hayo yangefanyika Tanzania basi ungewasikia Zitto,Lissu,Fatuma na Maria wanaitisha press conference na kulaani kwa nguvu zote na kutaka tuwekewe vikwazo,lakini sasa ni kama hawayaoni,ningewaona wa maana kama wangembwekea bwana mkubwa kwa yanayofanyika hivi sasa huko Marekani,haki ni haki iwe Tanzania,Ulaya Marekani au hata HongKong.
Siajelewa hoja yako mkuu.Unataka kutuambia kua kwa kua polisi wameua kule na hapa iwe halali?Au unataka tuamini kua Zitto na Lisu ni wamarekani hivyo hawana uhalali kusema kile kinachotokea hapa?Ama hujaona maandamano yanayoendelea Marekani na Uingereza! narudia Sijaelewa hoja yako Mkuu.Vipi kwako wewe mauaji yakifanyika Tanzania ni halali kwa kua yanatokea marekani!is Your minds is brainwashed? au washed away? Think Big.
 
Back
Top Bottom