The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.
Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa.
Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?
Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?