Marekani yajitoa rasmi Shirika la Afya Duniani WHO

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
BF9D3895-8045-44E6-9783-E15B4A567FA4.png


Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.

Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa.

Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?

Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?

 
Back
Top Bottom