5 September 2020
Tundu Lissu na Magufuli, Viongozi wa Jamii Marekani wajadili Amani, Haki, Upendo Na Ushirikiano
Kutoka Washington DC pamoja na Studio zetu za South Carolina, leo hii tumepata nafasi ya kuongea na Pastor: Absalom Nesuwa na Anna Ngoti, kutoka Kanisa la Umoja International Out Reach Church Dallas, TX Nchini Marekani
Viongozi wa Kiroho wanaongelea kuhusu haki, ushirikiano pamoja na upendo, kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020 Tanzania, pamoja na hapa Amerika.
CHANZO: Swahili Villa
Tundu Lissu na Magufuli, Viongozi wa Jamii Marekani wajadili Amani, Haki, Upendo Na Ushirikiano
Kutoka Washington DC pamoja na Studio zetu za South Carolina, leo hii tumepata nafasi ya kuongea na Pastor: Absalom Nesuwa na Anna Ngoti, kutoka Kanisa la Umoja International Out Reach Church Dallas, TX Nchini Marekani
Viongozi wa Kiroho wanaongelea kuhusu haki, ushirikiano pamoja na upendo, kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020 Tanzania, pamoja na hapa Amerika.
CHANZO: Swahili Villa