marekani

  1. B

    Polisi Tanzania wamfuatilia Abu Yasir Hassan anayesakwa na Serikali ya Marekani kwa ugaidi Mozambique

    Gazeti la Nation.Africa Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME US sanctions Tanzanian linked to terrorism in Mozambique la nchini Kenya linaripoti habari hii ya mtanzania kuwekwa ktk listi ya mtu hatari, kiongozi wa magaidi na anayefadhili ugaidi katika jimbo...
  2. B

    Corona: Marekani kuchanja wote kufikia Mei mosi

    Mabibi na mabwana tuna cha kujifunza hapa: Fact Sheet: President Biden to Announce All Americans to be Eligible for Vaccinations by May 1, Puts the Nation on a Path to Get Closer to Normal by July 4th | The White House Habari yenyewe ni kuwa: 1. Marekani kuchanja wote kufikia May 1. 2...
  3. MK254

    Duh! shamba la bibi linaendelea kuchumwa, shehena lakamatwa Marekani lililojaa wadudu kutokea Tanzania

    Wenzetu kwenu huko kila kitu kinachumwa kwa kwenda mbele, vyote hivyo ni dili, inashangaza kizazi cha sasa mnaojiita "walioelimika" bado mnaliwa kama ilivyokua kwa mababu zenu japo sitashangaa maana maprofesa wenu ndio hao wanafuata vikombe vya maji ya tangawizi Madagascar na kutangaza eti...
  4. J

    Mama Samia: Mataifa yanajifunza mengi kutoka Tanzania, hata Marekani sasa ina Makamu wa Rais Mwanamke

    Makamu wa Rais mama Samia Suluhu amewataka wanawake wa Tanzania kujiamini kwani wanawake ni jeshi kubwa. Mama Samia amesema mataifa mengi huko duniani hujifunza kupitia Tanzania ndio maana hata Marekani sasa ina makamu wa Rais mwanamke na hilo ni jambo jema. Chanzo: TBC Maendeleo hayana vyama!
  5. Tony254

    Kenya ime-deport mzungu mmoja aliyeshiriki vurugu huko Marekani katika Capitol riots ya Jan 6th

    Kuna mzungu mmoja mjinga kwa jina la Isaac Sturgeon alienda kufanya fujo katika Jan 6th capitol insurrection in Washington DC ambapo supporters wa Trump walienda kuzuia Joe Biden kuwa confirmed kama rais wa Marekani. Baada ya kufanya fujo na kushindwa kuzuia Biden kuwa confirmed kama rais mpya...
  6. T

    Vikwazo vya Marekani vyaiondoa Huawei kwenye nafasi ya kwanza hadi ya nne China

    Miaka 3 iliyopita serikali ya Marekani iliiwekea vikwazo vya kiuchumi kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya China, Huawei kwa sababu za kiusalama. Vikwazo vilianza kung'ata mwaka jana Huawei ikaamua kuuza kampuni yake tanzu ya Honor ili na yenyewe isije kufa kwa vikwazo vya Marekani. Sasa...
  7. dalalitz

    Uzembe wako ndio Umasikini wako: Kazi hizi za 'Kichovu' zinalipa mno Ulaya/Marekani- Ila uwe 'Kidume' kweli

    Salaam, Kuna watu huwa wanawaponda sana wenzao waliopo Ng’ambo hasa Ulaya na Marekani wakidai kuwa ni ‘Wabeba Maboksi’ tu na hawana lolote. Kituko ni kuwa ukichunguza haohao wanaoitwa Wabeba Maboksi wengi tu ‘wametoboa’ na sasa wana maisha yao mazuri huko waliko. Mwingine anaweza kunidadisi...
  8. M

    Mtangazaji wa Michezo Wasafi FM Maulid Kitenge, Kuzurura kote Ulaya na Marekani bado tu Kiingereza kinakutesa?

    Umeniangusha mno leo ambapo hapo Studioni Kwako ulikuwa na Wageni (Wazungu) Wawili akiwemo Mjerumani Mr. Alvaro ambaye ni Mkufunzi wa Soka la Vijana na Wanawake. Kiingereza chako cha Kumkaribisha Mjerumani Mr. Alvaro kwa Kumwambia ' Welcome Tanzania ' badala ya kusema (Kumwambia) ' Welcome to...
  9. I

    Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

    Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe. Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has...
  10. MK254

    Rais Uhuru na rais Biden wa Marekani wapigiana simu na kujadili mambo muhimu kuhusu ukanda huu

    Rais Biden wa Marekani ameanza shughuli za kikazi na kama ilivyo kawaida kwa Marekani, rais mpya lazima aanze kwa kushauriana na viongozi wenye ushawishi mkubwa kwenye kila kanda, hapa kaongea na rais Uhuru ili kuwekana sawa kwenye baadhi ya mambo muhimu yanayoihusu Afrika...
  11. N

    Marekani: Benki zaanza kukataa pesa za wateja wao

    Baadhi ya benki za Marekani ambazo hazitaki tena wateja kuweka akiba Benki zaomba wateja wake kuweka akiba zao kwingineko. Baadhi ya benki tayari zimeanza kukataza wateja wake kuweka pesa zao benki. Wateja wa moja ya benki ya kubwa Marekani ya JPMorgan ndio wa hivi karibuni kukumbana na tukio...
  12. K

    Maji nayo yakatika mkoani Texas, Marekani, wananchi Wachota barafu kwa matumizi

    CBS NEWS Wakati Mbunge Edward Cruz akishutumiwa vikali kwa kujijali mwenyewe na familia yake kwa kuwakimbia wananchi wenye majanga kwenda safari ya mapumziko kisiwani Cancun Mexico maelfu ya wakazi mkoani Texas Marekani wamejikuta hawana maji kufuatia mabadilko makubwa ya tabia nchi. Baadhi...
  13. FRANC THE GREAT

    Israel na Marekani zazindua mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Arrow-4

    Habari! Israel imetangaza Alhamisi kuwa inashirikiana na Marekani katika mpango wa uundaji wa mfumo mpya wa ulinzi wa anga dhidi ya makombora ya balistiki unaojulikana kama Arrow-4 ambao unajumuisha kizazi kijacho cha vizuizi (interceptors) ambao utachukua nafasi ya mfumo uliopo wa Arrow-2 kwa...
  14. sky soldier

    Mafanikio ya Wanaijeria waishio Marekani yanawakera sana Wamarekani weusi wazawa

    Of course habari zao za kesi za kusafirisha madawa ndizo tunazozisikiaga ila amini usiamini hawa ni idadi ndogo sana, ila ni vile tu ndio habari pekee ambazo wengi huzisikia. Aisee hawa viumbe waliotapakaa kila kona ya dunia sio siri wana kitu cha ziada. Huko Marekani Wanaijeria wanafanikiwa...
  15. Sky Eclat

    Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  16. The Sheriff

    Ubalozi wa Marekani, watoa tahadhari dhidi ya ongezeko kubwa la ugonjwa wa Covid-19

    Chanzo: Tahadhari ya Kiafya - Ongezeko la visa vya COVID-19 | Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania
  17. MK254

    Meli kubwa ya kivita ya Marekani yatia nanga Mombasa kuimarisha ulinzi katika Pwani ya Mashariki

    Kama namna ya kuonyesha uhusiano wa karibu baina ya Kenya na Marekani, wamefanya kweli kwa kutunisha misuli na kuonyesha makucha kwenye pwani ya Kenya, meli yao kubwa ya kivita inageuza geuza kwenye bandari ya Mombasa. Hii habari najua haitokua nafuu kwa wale huita Wachina ndugu zao wa damu...
  18. FRANC THE GREAT

    Hatimaye mfumo wa Iron Dome kuwekwa katika eneo la Ghuba. Mzizi wa fitina kukatwa?

    Habari! Marekani iko mbioni kuutumia mfumo wa ulinzi wa anga wa "Iron Dome" kwenye vituo vya kijeshi katika nchi kadhaa za Ghuba kwa mara ya kwanza. Marekani ilinunua mfumo wa Iron Dome kutoka Israel baada ya makubaliano kati ya nchi hizo mnamo mwaka 2019. Kulingana na ripoti na vyanzo ndani...
  19. comte

    Mafao na haki za Marais wastaafu wa Marekani ni balaa, wa kwetu hapa cha mtoto

    Reuters) - The impeachment proceeding against Donald Trump on a charge of inciting the Jan. 6 attack on the U.S. Capitol has fueled speculation online that he could lose some of the benefits extended to former presidents. But according to legal experts, under the laws currently in effect, Trump...
  20. The Assassin

    Mfumo wa mashitaka wa Marekani ni wa ajabu sana, kosa moja dogo unaweza kusomewa mashitaka 20

    Sijajua kama ni Marekani peke yake ama kuna nchi nyingine zina mfumo wa mashitaka wa ajabu namna hii. Kwakuwa Marekani mambo yao mengi yako wazi inakua ni rahisi kujua. Kosa moja dogo kwa Marekani unaweza kusomewa mashitaka 20. Kwa mfano, hapa kwetu ukiua mtu, utasomewa tu shitaka la kuua...
Back
Top Bottom