Watu wameshituka na baadhi ya matukio ya kusikitisha yanayotokea Geita kama mauaji ya Mirembe, Eneck, Albino n.k, Kwa tuliowahi kuishi Geita haya ni matukio ya kawaida mno
Geita Kuna uharifu wa kutisha, ubabe, ukatili, unyanganyi, ujambazi wa hali ya juu, yaani habari zingine Huwa hazifiki...