Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,421
- 40,410
Kwenye ndoa ya wake wengi, mwenye mapenzi ya kweli ni mke mkubwa tu. Hawa wengine wako kimaslai tu, ata kama utawatembezea rungu kwa kila staili, wao watalenga maslai au kipato chako tu. Kwa namna nyingine tunaweza sema ni wachunaji tu. Tusidanganyane kuwa wake wenza upendana, hiyo haipo; kila mmoja anatamani amiliki peke yake.
Kama mabaharia tujihadhari na hili janga
Kama mabaharia tujihadhari na hili janga