Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Pale tunaposema kuwa Siku hizi hakuna tena Mapenzi bali kuna Upuuzi, Utoto na Usanii tupu muwe mnatuelewa vyema tafadhalini
Jackline Wolper na mchumba wake wameachana ikiwa hata wiki haijaisha tangu walipovishana pete.
Chanzo: East Africa Televison - News
Wale Team No Kuoa Daima wala Kushoboka na mambo ya Uchumba hapa tunacheka tu huku tukiendelea Kuwakanyagia Viherehere wa Mademu.
Jackline Wolper na mchumba wake wameachana ikiwa hata wiki haijaisha tangu walipovishana pete.
Chanzo: East Africa Televison - News
Wale Team No Kuoa Daima wala Kushoboka na mambo ya Uchumba hapa tunacheka tu huku tukiendelea Kuwakanyagia Viherehere wa Mademu.