Ukiona sura yako haina mfanano na mke/mume wako jua hapo hakuna mapenzi ya dhati, bali mnaishi kwa kulazimishana tu

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
28,811
39,019
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?
 
Mm nachojua baada ndoa watu huanza hufanana tabia kama mmoja wenu mchoyo,
Wote mtakua wachoyo,roho mbaya, ubinafsi yani utapata tabia za mwenzio zote,kila kitu sometimes hufanana kweli
 
Mm nachojua baada ndoa watu huanza hufanana tabia kama mmoja wenu mchoyo,
Wote mtakua wachoyo,roho mbaya, ubinafsi yani utapata tabia za mwenzio zote,kila kitu sometimes hufanana kweli
Wewe inaonekana utarithi au umerithi tabia mbovu za mume wako kama unaye
 
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?
Utafiti wa hovyo huu kabisa
 
Kuna mama mmoja wa kisukumuma Mwanza ni mweupe sana,na mume wake ni mzungu na wamezeeka kwa sasa yani hua wanatembea mke yuko mbele mume nyuma,aisee wanafanana kama goroli,wanaweza kupark gari mahala wakaanza kutembea kwa miguu utadhani ni mapacha
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?
 
Niki
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?
Nikitembea na manzi wangu wanasema et tumefanana sana inanikera kunifananisha na mwanamke
 
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?

Yes,Hata maandiko yana sema "atakufanyia msaidizi wa kufanana naye".Sema ukiforce kwa mtu amabaye hamjafanana ujue mahusiano hayatafika mbali.mitafaruku itaanza na mtaishia kujuta tuu mbaka kifo kiwatemgamishe kama ni wavumilivu
 
Wakuu mlishawahi kusikia, watu wakisema fulani amefanana na mkewe/mumewe?

Ile inatokana na nguvu za nafsi zao kupendana, na kila mmoja kumhisi mwenzake ndio chaguo sahihi. Na hata katika maisha yao wanakuwa hawachepuki, wala hawatengani, hata migogoro ya hapa na pale inakuwa haipo. Akiugua mmoja awe mke au mme, mwenzake lazima nafsi imuume na ikitokea mmojawapo akafariki, mwenzake hawezi kuchukua muda mrefu au miaka mingi bila kufariki. Hii ni Kutokana na kuishi muda mrefu pamoja, pamoja na nafsi zao kuungana inapelekea muonekano wa sura zao kufanana. Na hata wakiwa wazee, wote upenda kutembea pamoja. Kibaharia tunasema ni mtu na pacha wake.

Je, wewe na huyo uliyenaye ni pacha wako?
Huo utafiti umefanyia wapi na kwa muda gani
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom