Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Habari za mchana ndugu jamaa na marafiki,😊natumai mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Unajua si kila Ex anakuwa amekufanyia mabaya tu, si ndio e Ehee. Kama mlimaliza kwa ubaya basi kuna mazuri mengi yalishatangulia.
Hebu tuambizane mbali na zile moments za kupiga game, ni kitu /vitu gani ambavyo unakaa pekee yako na kusema yes tumeachana lakini ninakushukuru umenisaidia hiki kwenye maisha yangu.
Binafsi bhana 😊😊namshukuru Ex wangu amenifundisha maisha na amenibadilisha mno, namshukuru mno..na ni namshukuru Mungu kwa ajili yake.😊
Kuna wakati nakaa najiuliza hivi kama nisingekutana nae ningekuwa na maisha gani, nakosa jibu😔
😅😅kuna wale watu wakusema mtapasha kiporo😁😁najua hamkosekani..ila amini usiamini kuna watu wanakuja kwenye maisha yako kwa kufikisha ujumbe wa Mungu na kuondoka.
Karibuni🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Unajua si kila Ex anakuwa amekufanyia mabaya tu, si ndio e Ehee. Kama mlimaliza kwa ubaya basi kuna mazuri mengi yalishatangulia.
Hebu tuambizane mbali na zile moments za kupiga game, ni kitu /vitu gani ambavyo unakaa pekee yako na kusema yes tumeachana lakini ninakushukuru umenisaidia hiki kwenye maisha yangu.
Binafsi bhana 😊😊namshukuru Ex wangu amenifundisha maisha na amenibadilisha mno, namshukuru mno..na ni namshukuru Mungu kwa ajili yake.😊
Kuna wakati nakaa najiuliza hivi kama nisingekutana nae ningekuwa na maisha gani, nakosa jibu😔
😅😅kuna wale watu wakusema mtapasha kiporo😁😁najua hamkosekani..ila amini usiamini kuna watu wanakuja kwenye maisha yako kwa kufikisha ujumbe wa Mungu na kuondoka.
Karibuni🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂