Ni akili sana. Ukimtengenezea mazingira yeye ndio akajiona kakuacha, huwa inaleta amani ya kudumu. Huku wewe ukismile kiyabisi!Mwanaume kubwagwa na mwanamke huo ni ujinga
Hii ni nzuri sana psychologically.Ni akili sana,
Ukimtengenezea mazingira yeye ndio akajiona kakuacha, huwa inaleta amani ya kudumu. Huku wewe ukismile kiyabisi!
Mpaka ukatengeneze mazingira tena. Wewe ukipata chombo kipya unambwaga tuuNi akili sana,
Ukimtengenezea mazingira yeye ndio akajiona kakuacha, huwa inaleta amani ya kudumu. Huku wewe ukismile kiyabisi!
especialy kama mmeshare a lot of things together. mmekuwa in love for a while na familia zinawahamamamu.Yan uwe wewe ndo umeanzisha au mwenza ndo kaanzisha, the moment unamaliza kusema tuachane kinaanza kipindi kigumu sana, hakuna mwanaume wala mwanamke, sema ngoja nione mwisho wake
Uliachwa au wewe ndio uliacha?!I feel you nigga....i feel you!!
Lakini bahati nzuri with time maumivu yataisha hadi kupotea
Neno la busara jiraniPole sana,ni kawaida katika mahusiano yoyote yale kuumizwa,.muda utaamua yote hayo us'konde wala nn.. au siyo??
Kwema jirani yangu?.!?Neno la busara jirani