demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Nilikuwa nakaa jirani na washkaji fulani hivi wawili 2 wa kishua.
Ilikuwa nipate mteremko wa kiungia state "United of America" kwenye intership kupitia mgongo wa washkaji zangu wa kishua ambao tulikua nao chuo kimoja. Wakisaidiwa na shangazi yao anao ishi kule kwa JoelI Bideni.
Mchizi nilikuwa bado blue pilled kwenye masuala ya mapenzi. Huyu binti wangu wa kwanza kutoka mtaa wa pili alinifanya nione mapenzi ni muhimu kuliko future yangu.
Wahuni wakasepa zao, baadae ndo akili ilinikaa sawa!
Ilikuwa nipate mteremko wa kiungia state "United of America" kwenye intership kupitia mgongo wa washkaji zangu wa kishua ambao tulikua nao chuo kimoja. Wakisaidiwa na shangazi yao anao ishi kule kwa JoelI Bideni.
Mchizi nilikuwa bado blue pilled kwenye masuala ya mapenzi. Huyu binti wangu wa kwanza kutoka mtaa wa pili alinifanya nione mapenzi ni muhimu kuliko future yangu.
Wahuni wakasepa zao, baadae ndo akili ilinikaa sawa!