ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Katika mademu kumi nitakaowatongoza Basi nane au tisa wananikataa hii Ni kwa sababu Mimi waga nikikutongoza Leo au nikikupenda leo nataka uingie geto siku hiyohiyo na ndo maana ndugu zangu kazi ya kuwambeleza wanawake nawaachia nyie Bora ukatae ili nikupotezee niendelee na mishe nyingine kuliko uniletee maringo wakati wajuba wengine wanajipuria kirohoo tu Kama kawaida.
Na sio kwamba waga siwapandii dau unakuta mtu namwambia kabisa njoo nitakupa buku tano na teni lakini Bado mtu anakupanga Mara ooh nitakushtua dakika ya mwisho unakuta manyoya mtu hatokei halafu anachukulia POA tu.
Nachokifanya me nakutafutia kasoro yoyote mwilini mwako ili nizidi kutokukupenda hatimaye ukaniumiza ..kwa mfano mademu wa Huku Kanda ya kwetu Wengi Wana meno ya kuoza oza Basi akiniletea lomoni tu me najisemea moyoni "Kwanza aah demu mwenyewe meno mabovu wa nn si Bora nitulie tu nisubiri huenda nikaja kuotea goma la ukweli lenye meno white" au Kuna demu mwingine juzi alinichomesha mahindi halafu Ana tumbo kubwa kubwa nikajisemea "aaah wa Nini na litumbo lake Kama kiroba" Basi ndio inakuwaga inaishia kwa style hio maisha yanaendelea na siachi kuzira kwa taarifa Yao.
Na sio kwamba waga siwapandii dau unakuta mtu namwambia kabisa njoo nitakupa buku tano na teni lakini Bado mtu anakupanga Mara ooh nitakushtua dakika ya mwisho unakuta manyoya mtu hatokei halafu anachukulia POA tu.
Nachokifanya me nakutafutia kasoro yoyote mwilini mwako ili nizidi kutokukupenda hatimaye ukaniumiza ..kwa mfano mademu wa Huku Kanda ya kwetu Wengi Wana meno ya kuoza oza Basi akiniletea lomoni tu me najisemea moyoni "Kwanza aah demu mwenyewe meno mabovu wa nn si Bora nitulie tu nisubiri huenda nikaja kuotea goma la ukweli lenye meno white" au Kuna demu mwingine juzi alinichomesha mahindi halafu Ana tumbo kubwa kubwa nikajisemea "aaah wa Nini na litumbo lake Kama kiroba" Basi ndio inakuwaga inaishia kwa style hio maisha yanaendelea na siachi kuzira kwa taarifa Yao.