maneno

Maneno was a blogging application powered by PHP, Smarty, and MySQL with content management capabilities. Initially released in October, 2008, it focused on creating a multi-theme, multi-author, multi-lingual system that works in a hosted setting [1]. The name Maneno means 'words' in Swahili and the site focused on having low latency/filesize options to make it fast to load on low bandwidth connections [2]. Additionally, it had an architecture that allowed for heavy customization by end users.
The core of the system was envisioned after a trip to the Democratic Republic of Congo in 2008 by two of the founders. They realized that while trying to write articles from the country via VSAT connections, the connection speeds proved incredibly slow and discouraging for not only them, but anyone striving to pursue citizen journalism endeavors [3]. Additionally it was shown that the language spheres of Africa had nearly no crossover between one another. Taking these issues into account and coming to the conclusion that no current blogging system adequately addressed them, this entirely new platform for blogging was created to serve the African blogging community.
Maneno was available in Bambara, English, Spanish, French, Fula, Swahili, Lingala, Portuguese, and Zulu. The available languages covered all of the lingua franca languages of Africa as well as a selection of large local African languages that were gradually added to. The site worked in allowing a user to be able to view and interact with the site in any one of the languages available for the interface as well as being able to translate articles and sections of the site via a crowdsourcing method [4].
In August 2010, Maneno announced that would be scaling back their extensive social media outreach initiatives to focus on developing the core technology of the site [5] and as of 2014, the site is now inactive.
The Board of Directors were a group of bloggers and technology enthusiasts working to expand the platform and reach out to new bloggers. Members were: Rebecca Wanjiku [6], Elia Varela Serra, Saul Wainright, and Miquel Hudin.

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    JamiiForums Tanzania Chanzo kikubwa cha kupungua nguvu za kiume ni wanaume kuangalia wanawake wanaotembea nusu uchi

    Maneno yamekuwa mengi tangu vibarazani mpaka kwa madaktari kukisia dawa ya ugonjwa unaowasumbua baadhi ya wanaume. Waganga wa kienyeji nao wanajipatia riziki kwa kuuza dawa wanazosema zinasaidia kuongeza nguvu za kiume lakini bado tu tatizo lipo. Mabarabarani nako utakutana na wasichana...
  2. Money Penny

    JamiiForums Tanzania ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?

    Haya haya sasa, mimi kila nikiamka asubuhi, mume ananiambia morning babes! I love you, na mabusu tele, mwaaaah! Sasa sijui upande wako ukiamka kunakuwaje? Unaamka na stress za kausha damu (Marejesho/madeni)? Kuwa mkweli basi tuambie, ni stress au mabusu? Msiopata mabusu asubuhi nawasalimu kwa...
  3. machiaveli

    JamiiForums Tanzania Maneno yapi sahihi hapa?

    Onyesha,onesha,vyema,vema
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Je wajua Nyimbo za taifa za nchi hizi, hazina maneno?

    Spain, San Marino, Kosovo, na Bosnia and Herzegovina. Watakuja mbumbumbu na kuanza kusema chai
  5. Mtemi Eno

    JamiiForums Tanzania "zilipotokea na zinapokwenda" pana utofauti ?

    Mfano una daftari la kurekodi stock inavyoingia kutoka stoo au ukinunua, na pia unarekodi stock ikitoka aidha kwa kuwauzia wateja ama kuibiwa. ni sawa kuandika "zilipotokea na zinapokwenda" ama kuna maneno yapi yanaweza kuwa mbdala mzuri
  6. Apollo one spaceship

    JamiiForums Tanzania Maneno "Enzi za Mwalimu" yanatakiwa kutumika panapostahili

    Baadhi ya watu wanaotumia hayo maneno huwa wameishiwa hoja, au wana nia zao za kibinafsi. Kiufupi watu hawa hupenyeza vioja vyao kwenye legacy ya mwalimu Nyerere ili wapate ili ionekane kwamba wanaenenda kama Nyerere hivyo jamii isiwahofie. Mfano ili kufuta legacy ya mwendazake, "Mradi huu...
  7. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Tuwe na akiba ya maneno kuhusu IGA na DP World

    Wasalaam wana zengwe Hili suala la IGA na DP World limeleta mijadala mingi na kauli nyingi kinzani, gombeshi na chongeshi. Ata mimi nimeandika nyuzi hii ikiwa ya tatu, lakini yote ikiwa katika kuchakata uhalali na ukubalifu wa IGA na DP World. Kitu kikubwa ambacho bado naamini kina tunza...
  8. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

    Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika pita pita yangu mtandaoni nimekumbana na hii video. Kwa mtazano wangu, huyu jamaa ana upeo, muono na mawazo mapana sana na ana kipaji cha kuzifikisha fikra zake kwa ufasaha na utulivu wa viwango vya juu kabisa. Ana uchungu na ujinga wetu Waafrika na...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Anna Tibaijuka: Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential, tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga!

    Prof Anna Tibaijuka anasema Dubai ni Mshindani Wetu kwenye kuendeleza Transhipment potential so tukimkabidhi Bandari zote ni sawa na Kujinyonga Tibaijuka anasema kupitia Ukurasa wake wa twitter kwamba bado ana Imani Mkataba Huo wa DP World utarekebishwa kwa kutumia Wataalamu Wetu wa Uchumi...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa: Hatutadharau ushauri, maoni na maeneo yenye hofu kuhusu makataba wa bandari

    MAJALIWA: HATUTADHARAU USHAURI, MAONI NA MANENO YENYE HOFU KUHUSU BANDARI --- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam. Waziri Mkuu Majaliwa...
  11. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Maneno yanayoishi

  12. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Wanatamani kusema Azam ni dhaifu lakini wakikumbuka wamekandwa nayo wanatunza akiba ya maneno

    Comments ziwe fupifupi.
  13. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Maneno ya kitabu "Confessions of an economic hitman" yametimia nchini mwetu.

    "Kukopa arusi kulipa matanga." "Uuzaji" wa bandari yetu si kwa sababu nyingine, si kwa sababu ya ufisadi au blah blah za kuongeza ufanisi. Ni sababu ya kuelemewa na madeni na hali ngumu ya uchumi iliyotukumba. Tunachekelea kuambiwa tunakopesheka na kuwa deni linahimilika. Yametufika. Ipo siku...
  14. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Je, mnayachukuliaje haya maneno ya Hayati Magufuli?

    Sitaki kuongeza neno lolote zaidi ya kutambulisha. Naomba, kwa heshima na taadhima, sikiliza haya maneno ambayo hayakukanushwa ndipo uamue. Je, tumefikaje hapa?
  15. I

    JamiiForums Tanzania SoC03 Utawala Bora katika jamii au nchi

    Utawala ulio boraa ni mchakato ambao una lengo la kukuza ufanisi, uwazi, uwajibikaji, na ushirikishwaji katika utendaji wa serikali. Katika kujenga utawala bora, ni muhimu kuwa na mabadiliko yanayochochea maendeleo katika nyanja zote, ikiwemo uwajibikaji. Hapa chini nimeandika andiko ambalo...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Nimemuuliza Mtaalam kwa Kiswahili tofauti ya Kufa Kiume na Kufa Kishujaa kasema ni maneno yenye maana sawa tu

    Kuna Wendawazimu nchi fulani Jumamosi walikuwa na Furaha ya Kazi bure iliyopelekea Kupokea Hirizi za Kuvaa Shingoni kutoka Uarabuni huku Wenzao wakibeba Ndoo yenye Madini na walivyorudi Makwao wanajisifia kuwa Wamekufa Kishujaa wakitaka Kujitofautisha na Wenzao ambao Wao walisema walikufa Kiume...
  17. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania SoC03 Maneno Matupu ya Kisiasa: Je, Wana Uwezo wa Kuongoza?

    MANENO MATUPU YA KISIASA: JE, WANA UWEZO WA KUONGOZA? Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Katika siasa za Tanzania, maneno matupu ya kisiasa yamekuwa yakitumiwa sana na wanasiasa kama njia ya kuwavutia wapiga kura. Hata hivyo, swali muhimu ni iwapo maneno haya yanaweza kuonesha uwezo wa viongozi...
  18. Mangi shangali

    JamiiForums Tanzania Daima usiamini maneno yao mpira dakika 90..

    Habari zenu.. Mpira sio uchawi wala mpira sio mdomo na maneno ya kijinga. Bali mpira ni dakika 90.. Daima usipende kuamini utabiri wao. Mpira unadunda. Walitabiri mengi sana. Mara itakuwa aibu ya taifa. Aisee mwarabu amelala na viatu. Amepelekewa moto mpaka kaomba poo. Daima mbele nyuma mwiko
  19. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Daniel Chongolo wa CCM: Watu Wanataka Katiba Mpya Kwa Maslahi Binafsi

    Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM ametoa tahadhari wa Wananchi dhidi ya Matapeli wanaojifanya kutaka Katiba Mpya kumbe ni Kwa maslahi Yao binafsi ya Kisiasa.. My Take Naunga mkono hii hoja maana suwaoni asasi za kijamii kupigania Wananchi badala yake ni Vyama vya siasa ndio wako mbele mbele...
  20. Alexander Lukashenko

    JamiiForums Tanzania Mashabiki kama maneno mkuki

    Anayeifahamu hii nyimbo anayoimba fei tafadhali naiomba. 😂😂😂😂😂 Uzi tayari.
Back
Top Bottom