Nimependa ulichoandika pamoja na kuwa umenituka ila mimi sio wa kulia kwa kuambiwa nyau.Umezunguka mbuyu lakini umetoka Kapa. Ulichoambiwa ni kipi tukione! Kuna wanawake wa kariba Yako akiambiwa nyau .
Hili nalo umeliingiza Kwenye faili la manung'uniko. Ngoja nirekebishe usije ukajinyonga.Nimependa ulichoandika pamoja na kuwa umenituka ila mimi sio wa kulia kwa kuambiwa nyau.
Asante kwa kuniita mpuuzi kwa kutokwenda kanisani.
Kwa hilo nakubali mie ni mpuuzi mkuu😍
Nahisi nimeachwa ila naombea niwe sijaachwa😁.Jamaa yako kafanyaje, kakuacha?
Wanaume wa Dar hawatafuti mke wa Mithali, wanataka sura, rangi na tako.
Nahisi nimeachwa ila naombea niwe sijaachwa😁.
Siwalaumu kwa kutaka sura t rangi sababu washajikatia tamaa kupata huyo wa mithali mkuu so acha wafaidi uumbaji
Naanza kukuonea huruma nimetoa neno la mwisho. Kama umeachika kaza moyo na nitakusaidia mremboSijalalamika mbona mkuu na wala usi edit😁
Ngoja nione ulichobiwaUtanisaidiaje mkuu?
Siwezi kusema kiundani ila kutokana na sababu fulani fulani amepata picha mbaya kuhusu mimi.Kibinadamu yuko sawa kudhani niko hivyo wala hana makosa ila kiuhalisia siko anavyodhani tatizo yeye sio Mungu kuona ambavyo upeo wa macho ya binadamu hauwezi kuona.Kinachoniuma ni kwamba nampenda sana na amekua mtu mzuri sana kwangu ila sina jinsi yakumtoa imani mbaya aliyoijenga juu yangu.Amekufanyaje
Pole sana mom,tulia,Kaa kimya,...kama ni mtu sahihi kwako kilakitu kitakaa sawaSiwezi kusema kiundani ila kutokana na sababu fulani fulani amepata picha mbaya kuhusu mimi.Kibinadamu yuko sawa kudhani niko hivyo wala hana makosa ila kiuhalisia siko anavyodhani tatizo yeye sio Mungu kuona ambavyo upeo wa macho ya binadamu hauwezi kuona.Kinachoniuma ni kwamba nampenda sana na amekua mtu mzuri sana kwangu ila sina jinsi yakumtoa imani mbaya aliyoijenga juu yangu