lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,158
- 33,378
Wataalamu wa masuala ya kiasiasa na hata wa lugha ya kiswahili naomba kujua tofauti ya maneno haya.
Makamu, Naibu na msaidizi.
Kuna makamu wa Rais, Naibu katibu, na Katibu msaidizi.
Kwa Nini isiwe naibu mwenyekiti, au makamu wa katibu, Naibu mwenyekiti?
Kwa kweli sijui kwa Nini Yako hivi.
Naomba elimu hapa.
Makamu, Naibu na msaidizi.
Kuna makamu wa Rais, Naibu katibu, na Katibu msaidizi.
Kwa Nini isiwe naibu mwenyekiti, au makamu wa katibu, Naibu mwenyekiti?
Kwa kweli sijui kwa Nini Yako hivi.
Naomba elimu hapa.