mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Dizasta ameachia EP mambo ni moto

    Waale wadau wa vinasaba tayari mwanetu kachafua hali ya hewa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuhepuka kuelekea utajiri

    Familia ambayo nilitokea haikuwa ni familia yenye uwezo, nakumbuka baba yangu alistaafu akiwa na miaka 40s na kipindi hicho nilikuwa mtoto wa miaka 10 hivi. Maisha hayakuwa rahisi kipindi hicho mama alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mtu binafsi, kwa kweli tulipitia kipindi kigumu cha...
  3. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kama kijana kabla haujafika miaka 35 tambua haya mambo kumi na moja yafuatayo ili usiishie mhanga wa kulalamika na kujutia

    HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI, KAMA YATAKUFAA BASI KARIBU, KAMA UTAONA BATILI, THEN LIVE YOUR LIFE 1: Hakuna jambo lolote la kiroho linalo control maisha yako. Maombi na swalah ni njia za kujifariji ila sio za kumuokoa mnyonge au kubadili mwelekeo wako 2: Hakuna utajiri kwa mganga. Utaishia...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mambo makuu matano ukiwa JF member kwa mwaka. Utajikuta mwanachama mbobevu

    Habari za ijumaa! Leo sina mambo mengi. Ukishakuwa mperuzi wa JF mara kwa mara. Kwa zaidi ya mwaka mmoja. Ukamezeshwa Doctrines humu ndani. Kuna uwezekano mkubwa ukawa moja ya mwanachama bobevu wa; a) Kataa CCM. Yaani Anti-CCM Humu ndani hasa ukiingia jukwaa la Siasa. Aiseeh! Hata uwe shabiki...
  5. Sodoku Myebusi

    JamiiForums Tanzania CV ya Makamu wa Rais. Vijana/Wasomi acheni kuchunguza chunguza mambo mpeni tu Ushirikiano.

  6. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Mambo haya ni janga kubwa sana,(what 50 cent tells...)

    🚨 Breaking News 😳💔💔 50 Cent says marriage is the worst contract a man can sign — “it’s a bad deal!” 😳 50 Cent recently made it clear that he views marriage as a “bad contract” — and he’s urging men to think twice before signing on the dotted line. What He Said: · Marriage is the worst...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Afrika kuna mambo ya ajabu sana. Mtu mwenye cheo kama hicho anashikiwa bastola na kulazimishwa kwa nguvu!

    Yaani Wafrika kwa kujali matumbo yao na maslahi yao ni noma. Mtu anashikiwa chuma kisa tu maslahi yao yabaki kuwa salama. Afrika sio mahala salama pa kuishi.
  8. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania CivilianCoin: WAJIBU wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Wasanii.

    Wajibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa wasanii unajikita katika kusimamia ulinzi na usalama wao, kuratibu vibali vya ukaazi na kazi kwa wasanii wa kigeni, na kusajili vyama au mashirikisho yao ya sanaa. Tofauti na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambayo inashughulika na...
  9. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unataka kuanzisha Driving School? Haya ndio mambo ya kuzingatia ili ujenge biashara yenye wateja na faida

    Fikiria kijana anayemaliza shule, anapata kazi inayohitaji awe na driving licence, au mfanyabiashara anayehitaji dereva mwenye uwezo mzuri wa kuendesha gari. Kitu cha kwanza anachotafuta ni Driving School yenye uaminifu, walimu wazuri, magari salama na inayoweza kumsaidia kujifunza kuendesha...
  10. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo ni siri yako tu mwanamke hupaswi kumwambia mchumba wako au mume wako

    Kwenye maisha kuna vitu ambavyo hupaswi kumwambia mtu vinabaki kuwa siri yako siyo kwa ubaya ila unapovisema vinaleta machafuko Kwako mwanamke kuna vitu ambavyo hupaswi kumwambia mme wako 1.mtu aliyekutoa ubikra chonde chonde usije kumtaja hata kama akikuuliza mwambie achana na hayo ebu njoo...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Haya mambo yasipopigwa marufuku, tutakua na kizazi cha ujinga sana

  12. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Mambo machache bora ya kuirudisha CCM katika misingi yake

    Hakuna haja ya kuunda tume wala kamati Hizi ni action zinazotakiwa kuchukuliwa 1. Zuia machawa katika chama 2. Rudisha mamlaka kwa wanachama wa chini ( wananchi), mambo ya watu wachache kukata majina na kuamua nani akagombee yasiwepo tena. 3. Zuia rushwa katika chama, hiyo ndio inaleta...
  13. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Mambo Kwa ushahidi

    Fikiria huyo mgonjwa ndiyo za Tanzania halafu huyo jamaa ni CCM 👇
  14. M

    JamiiForums Tanzania Pale unapokataliwa kazini nini cha kufanya?

    Miaka kadhaa mara baada ya kuangaika hapa na pale kutaguta ajira nikafanikiwa kuajiriwa ofisi moja ya umma Kwangu lilikuwa jambo la heri sana kupata kazi, na kwa wazazi wangu walifurahi sana kijana wao kupata kazi. Mara baada ya taaribu za ajira nilipangiwa kituo cha kazi mkoa jirani na...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Mkutano huu na waandishi wa habari ulifanyika mara baada ya viongozi wa TEC kukutana na kufanya mazungumzo na Samia Suluhu Hassan katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. Lengo la Kukutana na Rais: Padre Dkt. Charles Kitima alibainisha kuwa mkutano huo ulitokana na ombi la maaskofu wenyewe...
  16. Matunzo 02

    JamiiForums Tanzania Unaamuliwa mambo au unajiamulia mwenyewe?

    Leo nimekaa nikawaza hivi najiamulia mambo au naamuliwa sababu toka utoto naamuliwa mambo hata wakati nasoma kwenda kukojoa, kula, kucheza tulisubili kengele nilivyomaliza shule nimekuja kujua ugumu wa kujiamulia mambo kinachofata ni kuiga yale wengine wanafanya ndo nikajua kumbe bado naamuliwa...
  17. Karim Mussa

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu unayotakiwa kuonesha kwenye madai ya Talaka

    1. Kwamba kulikuwa na Ndoa halali 2. Kwamba, kuna mgogoro kati yenu wanandoa na jitihada za kusuluhisha zimefanywa lakini imeshindikana. 3. Orodha ya watoto wa ndoa na umri wao. 4. Orodha ya mali zenu wanandoa mlizochuma pamoja wakati wa ndoa yenu. Kgm Attorneys Chamber ☎️ 0755 395572 / 0761...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 niliyojifunza kupitia maandamano ya 29 Oktoba 2025

    MAMBO 7 NILIYOJIFUNZA KUPITIA MAANDAMANO YA 29 OKTOBA 2025 Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. HASIRA ZA WANANCHI PEKEE HAZITOSHI KUANGUSHA SERIKALI. Maandamano yanaweza kuonyesha ukubwa wa hasira na kutoridhika kwa wananchi, lakini hilo pekee halimaanishi serikali itaondoka madarakani...
  19. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mambo yanaendelea kutokota

    Chadema shikilia hapo hapo kama Iran pale Homz. Kusikilizwa kabla ya makubaliano ndio jambo la msingi. Mioyo ya wanachadema imejaa makovu waombwe msamaha kwanza ndipo wahitajike . Toa boriti kwenye mboni yako kwanza .
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Serikali ijiondoe kwenye mambo ya kuunda Tume ya Uchunguzi kwani Mtawala aliyopo madarakani anahusika na Vurugu za 2025

    Luhaga Mpina atema Cheche tena DW Radio . Akosoa Samia kuunda tume. Amesema ana masha nayo. Akosoa Tume kuelekezwa cha kufanya. Mfani; Kachunguze nani katoa hela. Kakosoa Hahdidu za Rejea Hadidu za rejea ndio huleta maana. Haziwezi kuwa siri kwani mambo kama haya yanatakiwq yawe wazi...
Back
Top Bottom