Uhusika wa vyombo vya dola kwenye siasa

Uhusika wa vyombo vya dola kwenye siasa

kalisheshe

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2020
Posts
2,435
Reaction score
4,997
Naomba wajuvi wa sheria mtufafanulie
Inawezekana labda hatujui sheria au labda tunalalamika na kunung'unika bila sababu
 
Rais ndiye anayeteua Wakuu wa Polisi, Jeshi, na Usalama wa Taifa, na bado yeye ndiye Mwenyekiti wa Chama Tawala. Hapa ndipo penye shida kwa sababu huwezi kumteua mtu kisha ukategemea asilinde maslahi yako ya kisiasa.

The conflict of interest is just too high, inabidi mfumo wa uteuzi ubadilike.
 
Back
Top Bottom