Pole ndio tafsiri harisi ya mwanaume ila nakushauri jambo hili ulipaswa kuwa shirikisha marafiki zako wa karibu kabla ya kuja mtandaoni huku hakuna wasaidiaji wengi ni wachambajiHeir ya jumapili ndugu zangu wa Jf mko poa nyie sometimes mambo yanaenda kombo sana wadau, naombeni mnisaidie kifedha japo ata ya siku hii wakuu napitia magumu yaliyo nje ya uwezo wangu kwa heshima yenu naomba mnisaidie 😔
Mmejuaje ni mwanaume 🥲?Sijui magumu unayopitia, ila wanaume tunajikaza kisabuni.
Sio vibaya kuomba, ila omba kwa watu wako wa karibu na sio watu baki utafedheheka.
"Ukishindwa kujikaza utakazwa"
Angalia msaada wa ushauri ushapewa huko juu, sijui unataka nini tenaNaomba msaada wenu wakuu
Umekula hela ya kula ?Heir ya jumapili ndugu zangu wa Jf mko poa nyie sometimes mambo yanaenda kombo sana wadau, naombeni mnisaidie kifedha japo ata ya siku hii wakuu napitia magumu yaliyo nje ya uwezo wangu kwa heshima yenu naomba mnisaidie 😔
Mwandiko tu unajieleza kuwa ni mwanaume.Mmejuaje ni mwanaume 🥲?