fact only
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,826
- 2,851
Hellow JF.
Unakuta.
Unajiheshimu/Umejitunza vizuri unakuja kuoa/olewa na Malaya sugu.
Umepambana umejinyima ukalima nyanya zako vizuri siku unaenda shambani nyanya zimeungua nusu shamba.
Umesoma vizuri mpaka chuo lakini hauoni fursa wala haupati ajira(kulala/kula yako ya shidashida). Upo kwa SHEMEJI YAKO NA JAMII INAKUSIMANGA KILA KUKICHA.
Umepanga fremu ya biashara mwaka unaisha hakuna ulichokipata mpaka unakosa kodi yakulipia tena Fremu.
Mshahara wako na majukumu yako vitu viwili tofauti kabisa(madeni kila kona) familia zina kutazama wewe kama mkombozi.
Umekomaa kwenye mafunzo ya ujeshi/polisi na umefanya vizuri kabisa lakini kila siku wanaitwa wengine hata ulio wazidi uwezo.
Wakuu sometimes ukilala hautamani kuamshwa kabisa.
Unakuta.
Unajiheshimu/Umejitunza vizuri unakuja kuoa/olewa na Malaya sugu.
Umepambana umejinyima ukalima nyanya zako vizuri siku unaenda shambani nyanya zimeungua nusu shamba.
Umesoma vizuri mpaka chuo lakini hauoni fursa wala haupati ajira(kulala/kula yako ya shidashida). Upo kwa SHEMEJI YAKO NA JAMII INAKUSIMANGA KILA KUKICHA.
Umepanga fremu ya biashara mwaka unaisha hakuna ulichokipata mpaka unakosa kodi yakulipia tena Fremu.
Mshahara wako na majukumu yako vitu viwili tofauti kabisa(madeni kila kona) familia zina kutazama wewe kama mkombozi.
Umekomaa kwenye mafunzo ya ujeshi/polisi na umefanya vizuri kabisa lakini kila siku wanaitwa wengine hata ulio wazidi uwezo.
Wakuu sometimes ukilala hautamani kuamshwa kabisa.