malipo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe upasuaji katika Hospitali za Serikali sharti malipo kwanza?

    Leo nimepigiwa simu na rafiki yangu ambaye tangu jana alimpeleka mgonjwa wake na hiyo jana aligharamikia ununuzi wa madawa kwa mgonjwa wake huku akiambiwa kuwa madawa husika hayapo kwenye stock. Leo mgonjwa huyo huyo anahitaji upasuaji na sharti alilopewa ni kulipia kwanza Tshs.240,000 na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi tunaojiunga SUA invoice za malipo ya Tuition Fee na Accommodation zinapatikanaje / tunazipata wapi?

    Habari ya muda huu wanajukwaa! Naomba kufahamishwa / kuelekezwa namna ya kupata INVOICE kwa ajili ya kulipia ya Accommodation (makazi) na Tuition Fee (Ada) kwa chuo cha Sokoine University of Agriculture (SUA). Maelekezo yaliyopo kwenye Barua ya kukubaliwa kujiua chuo na yale yaliyopo kwenye...
  3. FedhaBook

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE FedhaBook: Tunza kumbukumbu zako za mapato na matumizi bila malipo ya kila mwezi wala mwaka

    .
  4. DISPLEI

    JamiiForums Tanzania RUWASA Mnachelewesha Sana Malipo ya Wakandarasi

    Kuna Kandarasi nyingi za miradi ya maji chini ya RUWASA zinazoendelea na zilizokamilika lakini malipo yanachelewa sana. Watendaji wa RUWASA kuanzia ngazi za wilaya hadi makao makuu hawaonekani kujali machungu wanayoyapata wakandarasi kutumia hela zao kutekeleza maradi hii. Kuna madeni ya...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi katika kampuni ya clearing and forwarding

    M
  6. G Sam

    JamiiForums Tanzania NHIF yaja na makali zaidi kwa Watanzania, yaondoa dawa lukuki kwenye orodha ya dawa zinazonufaika na malipo ya bima

    NHIF imekanusha taarifa hizi: NHIF yakanusha kuondoa dawa 138 kwenye Orodha ya Dawa wanazolipia wateja wake Makali zaidi, kasi zaidi. Sasa makato yetu yana faida gani? Huu ni unyonyaji wa aina yake.
  7. Mantombazane

    JamiiForums Tanzania Wananchi Igingilanyi walia na Serikali kuhusu malipo duni ya fidia za nyumba zao kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege wa Iringa

    Sisi wananchi wa kijiji cha Igingilanyi kilichopo katika manispaa ya Iringa ambao tunatakiwa kuhama katika makazi na maeneo yetu ili kupisha upanuzi mkubwa wa uwanja wa ndege wa Iringa ulipo katika vijijji vya Nduli na Igingilanyi lakini kwa sehemu kubwa utachukua sehemu ya Ingilangyi ambako...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Google kusitisha malipo kwa njia ya Western Union

    Kampuni ya GOOGLE upande wa matangazo imesitisha malipo yake ya matangazo yanayopatikana kwenye application za simu (admob) na blog au website (AdSense), Google wamenitumia E-mail kufikia mapema mwa mwaka kesho (2021) watasitisha rasmi malipo kwa njia ya Western Union. SWALI : Western Union...
  9. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya wabunge yakipunguzwa, idadi yao nayo itapungua!

    I’m going to go in and keep it a buck all the way. Ni hivi, wabunge wengi sana wa bunge la Tanzania ni wachumia matumbo tu. Hawapo bungeni kuwawakilisha wananchi wa majimbo yao. Kwa sababu hiyo, mimi ningependa malipo yao yote, yaani kuanzia mshahara, posho zile kipumbavu, marupurupu, na...
  10. Mlenge

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO: Mishahara na Malipo Mengine yaruhusiwe kupitia waleti za simu

    PENDEKEZO: Mishahara na Malipo Mengine yaruhusiwe kupitia waleti za simu Halopesa/Tigopesa/MPesa/Airtel Money/T-Pesa/waleti zingine Badala ya watumishi katika sekta za umma na za binafsi kulazimika kutumia akaunti za benki kupokelea mishahara, waruhusiwe kupokelea mishahara na malipo mengine...
  11. srinavas

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII Habari ndugu zangi , Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube , kunaweza kukunufaisha mmiliki... Tafadhali kama kuna mwenye majibu , ushuhuda, uzoefu au elimu yoyote...
  12. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa siku 14 kwa Bodi ya Nafaka kukamilisha malipo ya Wakulima wa Korosho

    Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga ametoa siku 14 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Nafaka na Mazao mchanganyiko Dkt Anslem Moshi kukamilisha malipo ya wakulima wote waliouza korosho msimu wa mwaka 2018/2019. Waziri Hasunga ametoa agizo hilo wakati alipotembelea na kukagua shughuli za utendaji kazi...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

    Utawala wa Bwana Donald Trump unafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye manunuzi ya aina yoyote au wanaita dollar decoupling. Dollar ya kimarekani ndio sarafu maarufu inayotumika kufanya malipo Duniani, zaidi ya 60% ya malipo Duniani yanafanyika kwa njia ya Dollar. Dollar ndio...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Polepole: Magereza ni wazalishaji na tuliwaunga mkono ili wapandishe bendera za CCM mitaani na risiti ya malipo tunayo

    Mwenezi wa CCM komredi Polepole amelitolea ufafanuzi tukio la wafungwa kupandisha bendera za CCM huko Dodoma. Polepole amesema kama ilivyo kwa JKT na JWTZ hata jeshi la magereza linafanya uzalishaji na CCM iliamua kuwaunga mkono kwa kununua Huduma ya nguvu kazi na risiti ya malipo ipo...
  15. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Uwajibikaji sifuri: Mtandao wa malipo TRA Mbeya hauturusu kupata leseni za Udereva

    Ni kama utani vile lakini ndio hali halisi. Mtandao wa kupata leseni za Udereva kwa wiki mbili na zaidi haupo hovyo hata kulipia huwezi kabisa, Mbaya zaidi hawajatangazia Umma hiki kitu. Iweje mtandao tuliosuka wenyewe utusumbue kihivyo, au hao wataalamu wa IT ni wajomba wa watu fulani...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Ratiba za masomo kuongezewa muda wa masaa mawili kutakuwepo na malipo ya ziada kwa walimu?

    Waziri wa Elimu katia waraka na ratiba mpya za mihula ya shule jana. Ndani ya waraka huo kaongeza muda wa masaa mawili kwenye RATIBA za shule yaani zianze SAA 2:00 asubuhi hadi SAA 10:00 jioni badala ya SAA 8:00 mchana. Katika kuongeza huku hakuzungumzia malipo ya ZIADA (overtime) kwa walimu...
  17. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Manispaa ya Temeke yakosa utu , yaanza kuwadhalilisha wafanyabiashara waliochelewesha malipo bila kujali janga la corona

    Pamoja na serikali ya Tanzania kutambua ugumu wa mzunguko wa biashara nchini humo kutokana na janga la Corona , na kupitia BOT imetoa maelekezo kwa benki zote kutoa nafuu ya marejesho ya madeni ya mikopo kwa wateja wake , ambapo baadhi ya benki nchini Tanzania ikiwemo Exim bank , ambayo...
  18. Breezyman

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uhakika wa ajira endapo mtu utaambiwa utume hela kwa ajili ya maswali na majibu ya mchujo?

    Nimepokea ujumbe huu, "CV yako ni nzuri nitakusaidia upate hii kazi salary ni 1,300,000/=(net) ukipata salary yako ya kwanza utanipa 400,000 na kabla ya saa 10 jioni leo uwe umetuma elfu 45 through tigopesa nimpe mtu wa interview atanipa maswali na majibu nitakutumia kwenye email so una...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Tamko la wazee Chadema: Mbowe ndiye kiongozi pekee barani Afrika asiyelipwa posho wala malipo yoyote na chama chake, anajitolea!

    Baraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe. Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe: Mosi Mbowe ni mwenyekiti...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mazava chawapa likizo ya kibabe ya miezi 3 isiyo na malipo wafanyakazi wake

    Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha Nguo cha Winds Group ltd maarufu kama Mazava kilichopo Msamvu, kinadaiwa kuwapa likizo ya miezi 3 wafanyakazi wake bila malipo. Wafanyakazi wamezuiwa kuingia kiwandani kuendelea na shughuli humo leo Mei, 15.
Back
Top Bottom