koba lee
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 964
- 1,552
Kwema wakuu?
Mwenye ufahamu kuhusu malipo ya walimu wastaafu yanavyofanyika naomba anipe ujuzi, je hela wanaingiza yote au wanaingiza kidogo kidogo au wanaipiga pini hadi muda fulani upite.
Maana beki hazikabi uchumi umekaa tenge nataka nirudishe mpira kwa kipa kwa mtu fulani nasikia mpunga ushasoma afu yeye kimya haongelei wala nini.
Nisijekusahauliwa katika kukata keki wakuu.
Asanteni.
Mwenye ufahamu kuhusu malipo ya walimu wastaafu yanavyofanyika naomba anipe ujuzi, je hela wanaingiza yote au wanaingiza kidogo kidogo au wanaipiga pini hadi muda fulani upite.
Maana beki hazikabi uchumi umekaa tenge nataka nirudishe mpira kwa kipa kwa mtu fulani nasikia mpunga ushasoma afu yeye kimya haongelei wala nini.
Nisijekusahauliwa katika kukata keki wakuu.
Asanteni.