makundi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Analogia Malenga

    Makundi 9 ya wapiganaji yaungana dhidi serikali ya Ethiopia

    Makundi 9 yanayopiga vita serikali ya Ethiopia, yametangaza kuunda muungano hii leo ili kulazimisha mabadiliko ya kisiasa nchini humo. Hatua hiyo inaongeza shinkizo dhidi ya Waziri mkuu Abiy Ahmed, wakati makundi ya wapiganaji yakiendelea kukaribia mji mkuu wa Addis Ababa. Makundi kadhaa...
  2. D

    Wanahabari na wanasiasa kutoka makundi ya vyama acheni kupinga zoezi la machinga, mnatafuta sifa za kijinga

    Kero ya machinga huko barabarani hapati rais peke yake, kero ya machinga hapati waziri mkuu peke yake, kero ya machinga hapati RC, DC au mkurugenzi peke yake! Kero hii ya machinga wanaipata wanainchi wengi wastaarabu wanaozingatia kanuni na sheria za inchi. Kero ya machinga tunaipata sisi...
  3. C

    Biashara akiingia makundi atapata points 2.5 za CAF sawa na Namungo Yanga wana 1

    Ikumbukwe hadi sasa TFF (Tanzania) tuna points 27.5 huko Caf zililizowezesha nchi kuingiza teams 4 yaani simba ana 24, namungo 2.5, utopwenga 1 Simba ni ya 15 kwa sasa ,namungo ni ya 60 hivyo biashara kiingia makundi atalamba points zake 2.5 na kumfikia namungo kwenya nafsi ya 60 huku mabingwa...
  4. Miss Zomboko

    Makundi ya Watoto kutokana na tabia zao

    1. Mtoto mtulivu, mkarimu Huyu ni mtoto anayewaamini wazazi na watu wanaomzunguka. Utulivu wake unasababishwa na kujiona yu katika mazingira salama na hivyo hana wasiwasi. Kutokuwa na wasiwasi kunamfanya asiwe mgomvi wala msumbufu na hivyo hana tabia kulia lia bila sababu. Kulia kwa watoto mara...
  5. D

    SoC01 Mikopo ya wanafuzi wa vyuo iwe katika makundi mawili na yaingie kwenye akaunti ya mwanachuo kwa pamoja, pia cheti cha chuo kitumike kama dhamana

    WANAFUZI WA VYUO VYOTE WAPEWE MIKOPO YA AINA MBILI KWA WAKATI MMOJA PIA CHETI CHA CHUO KITUMIKE KAMA DHAMANA YA MUHITIMU WA CHUO KUPATA MIKOPO. HABARI WANAJUKWAA WA JAMIIFORUMS, NALETA MADA HII KWENU ILI IJENGEWE HOJA IWEZE KUFIKA MAHALI HUSIKA NA KUFANYIWA KAZI KWA FAIDA KUBWA ZA JAMII NZIMA...
  6. jollyman91

    ECCAS yataka kuwepo mazungumzo ya makundi yote nchini Chad

    Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Katikati mwa Afrika (ECCAS) imetoa wito wa kuitishwa amazungumzo yatakayoshirikisha makundi yote nchini Chad. Rais Denis Sassou Nguesso wa Jamhuri ya Kongo ambaye ni Mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Katikati mwa Afrika (ECCAS) amezitolea wito pande...
  7. CONTROLA

    Makundi ya watu ambao wakifungua biashara lazima zife, fahamu kundi lako na Ubadilike

    1. Kapata Pesa za Ghafla Hapa kuna wale wenzangu wa michezo ya bahati na sibu au kuna mirathi,kuuza kitu flani nk nk,hawa watu mara nyingi biashara huiwaza angali ameshika pesa,alikua hana hata mpango wa biashara ila kwakua kapata pesa na watu waliomzunguka wengi marafki majiran n...
  8. Mtoto wa Nyerere

    Rais wa Nchi hutakiwi kuwa na makundi

    Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru. Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa. Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya...
  9. Fred Katulanda

    Fahamu mbinu ya kugawa makundi ya nyuki uliyonayo kujaza mizinga mipya isiyo na nyuki

    Habari wadau; Leo naomba nidokeze namna ya kugawa Mzinga wenye nyuki ili kujaza mizinga yako mipya isiyo nyuki kwa njia ya haraka badala ya kutumia njia ya awali ya kuwatega na kungoja waingie jambo ambalo linaweza kukuchelewesha na kuchukua muda mrefu. Kwa mnaofuga au mnaotarajia kuanza...
  10. Chagu wa Malunde

    Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu

    Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab. Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia. Hata hayati...
  11. Kinumbo

    UTABIRI: Simba na Yanga hazitofika hatua ya makundi CAF 2021/22

    Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu. Uzi tayari, kama una bisha sawa.
  12. Super Sub Steve

    #COVID19 Upendeleo chanjo ya COVID-19 kwa makundi

    Toka zoezi la kupata chanjo lizinduliwe rasmi kuliwekwa vipaumbele kwa makundi matatu. Waliofika miaka 50 na zaidi Wahudumu wa afya Wenye magonjwa ya Mara kwa mara Kwanini wasingesema Kila mtu ambaye yupo tayari kupata chanjo apate? Halafu Kuna watu hawajafika 50, si wahudumu wa afya na...
  13. Arch - Forum Tz

    SoC01 Kataa na Pinga Unyanyasaji, Ubaguzi na Ukatili Wa Makundi Maalumu Katika Jamii

    Katika jamii zetu yapo makundi Mbalimbali ambayo yanakumbwa na unyanyasaji, Ubaguzi pamoja na ukatili. Licha ya kuwa wapo watu wengi ambao wankumbwa na hali hiyo ila nitajikita katika makundi maalumu. Makundi hayo yapo katika mgawanyo huu: Makundi haya kila kundi linachangamoto yake na...
  14. K

    Tukaribishe makundi mengine ya uwekezaji katika Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

    Mradi wa Bagamoyo ni drama za ajabu sana huwezi kupata faida kwenye mkataba kama unaongea na mwekezaji mmoja tu. Kama China na Oman wanajua wako peke yao serikali itakuwa kwenye wakati mgumu sana kuweza kujadili mkataba mzuri. Hivyo ushauri wangu ni kutangaza upya uwekezaji maana siku hizi...
  15. REJESHO HURU

    Makundi ya mziki na viongozi

    Tuanze 1.EAST COAST Wametoa mbunge FA 2. Hard blasters Walitoa mbunge Prof Jay 3.weusi Wametoa DC Nick wapili 4. Daz nundaz Wametoa mateja mnawajua 5.Tmk Wametoa diwani mkubwa fela 6. WCB Wametoa mbunge Babu tale 7. Tip top connection Wametoa mapunda mnawajua Ebu endelea wewe hapo
  16. Its Pancho

    Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

    JF imejaa watu wa kila aina na ndio hawa hawa tunaishi nao mtaani, wengine pia ni ma diaspora, viongozi nk. Haya ndio makundi ya J na karibu kila mtu yupo kundi tajwa na tabia zake kama ifuatavyo. 1: Wapenda siasa Hapa wapo watu ambao wao utawakuta kwenye jukwaa la siasa tu, maisha yao na...
  17. W

    CHADEMA in Limbo: Makundi, njaa, upendeleo vyatajwa kuwa chanzo cha sintofahamu

    Ndugu zangu, Wakati umefika sasa baadhi ya viongozi wamemweleza Mbowe aache kuhadaa makamanda "kukubaliana na njaa, kuendesha chama kwa hela zao" ilihali yeye anatumia rasilimali za chama kuaafiri, kujilipa posho nk. Kiongozi mmoja ambaye ni mwandamizi alisema "huwezi kuwaambia wenzako...
Back
Top Bottom