Timu zilizofuzu hatua ya makundi CAFCL ni zipi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,113
144,586
Nafikiri michezo yote itakuwa imekamilika, hivyo tupeane orodha ya timiu zilizofanikiwa kuingia hatua ya makundi na zaidi ni lini droo ya kupanga timu hizi kwenye makundi itafanyika.

Karibuni.
 
Nafikiri michezo yote itakuwa imekamilika, hivyo tupeane orodha ya timiu zilizofanikiwa kuingia hatua ya makundi na zaidi ni lini droo ya kupanga timu hizi kwenye makundi itafanyika.

Karibuni.
Twende kazi
Screenshot_20231001-214146.png
Screenshot_20231001-214156.png
Screenshot_20231001-214202.png
 
Al ahly
Pyramids

Mamelod
Jwaneng galaxy

Simba
Utopolo


Etoile du Sahel
Esperance de Tunis


CR beluizdad

Waydad Casablanca

Asec mimosa

TP mazembe

Al hilal

Medeama

FC Nouadhibou
 
Back
Top Bottom