mahusiano

  1. Usipanic buana nakutania

    Mzazi anayejivunia mtoto wake kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi

    Habari za leo wakuu Kilichonifanya kuandika uzi huu ni hili suala la Wazazi. Nadhani wengi wenu mnakumbuka enzi za shule hasa secondary na high school ilivyokuwa, ule wakati wa story za vijana utasikia tunatetea suala la kuwa na kesi mtaani, mfano; skendo za mahusiano na wasichana kadhaa...
  2. Mboka man

    Ni maamuzi gani magumu uliyowahi kuyafanya katika mahusiano yako?

    Unapokuwa katika mahusiano yoyote huwa kuna nyakati zinafika au unapitia unaona hapa bora nichukue uamuzi mgumu lolote liwe. Mimi niliwahi kumwambia mpenzi wangu niliwahi kumpenda tuachane baada ya toxic relationship kubadili mwelekeo wa maisha yangu ilibidi ni kuvunja mahusiano kwa mtu...
  3. The Conscious

    Wanaume tuwe tunaanzisha mahusiano na wanawake tunaowapenda ili tukiwapa mimba tusiwakimbie

    Habari wanandugu wa JF, Sorry kama nitashindwa kuhusianisha heading na content Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwa kumekuwa na wanawake wengi ambao wametelekezewa watoto au mimba hii hutokana na sisi wanaume kuhitaji sex tu. Ila matokeo ya hiyo sex tunayajua ila huwa hatuyataki unakuta mwanaume...
  4. V

    Ongezeko la Mahusiano ya kingono yasiyo halali katika jamii zetu

    Habari za wakati huu wana JF. Ni matumaini yangu kuna Uzima lakini pia kwa wale walio na matatizo ya kiafya naomba Mungu awatie Nguvu. Leo nina topic ndefu kidogo lakini Nitajitahid kuigusia kwa ufupi na kwa leo nitaongelea point moja tu inayotuhusu wote hasahasa kwa sisi vijana. Kumekuwa na...
  5. Meshacky Allyson

    Vitu gani unazingatia, wewe binafsi kabla ya kuingia kwenye mahusiano?

    Habari wana JF, Natumaini mu wazima wa afya ni Dua na maombi yangu kwa mola ,azidi kuwalinda na kuwapa maarifa na hekima ili tuzidi kufundishana na kupeana mawazo, Narudi kwenye mada. Binafsi nipo single na huwa nikikutana na marafiki au washkaji zangu, wengi huwa nikiwauliza why umeingia...
  6. Mboka man

    Ni kwanini wadada wengi at 30's age wanaforce sana ndoa au ukajitambulishe kwao?

    Tofauti na ladies wengi walio below 29 lakini ladies wengi ktk mahusiano akishafikisha age of 30 anataka akupeleke kwao akakutambulishe au ndoa tena mwingine ana force hatari bila hivyo hamuezi hata kuelewana. Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe.
  7. R

    Tuepuke ajali za barabarani sambamba na ajali za mahusiano

    Ukimpa mtu ufunguo wa gari, mtu asiyejua kuendesha gari na kisha umwambie aendeshe gari unadhani nini kitatokea? Ni dhahiri kwamba itatokea ajali, tena ajali mbaya, itakayomdhuru yeye mwenyewe na walio karibu na yeye na chombo chenyewe. Mtu ambaye hajui kuendesha gari na anataka kuendesha gari...
  8. Idugunde

    Utafiti rasmi: Ndoa nyingi na mahusiano mengi yamevunjika baada ya Wanawake kuamini sana ndumba

    Wananwake wengi wa kibongo wanaamini sana ndumba ili kuimalisha mapenzi yao. Na wanapopata ndumba kali huwafanya mabwana zao kuwa mabwege na hapo huanza kuchepuka nje, kuwa dharau na kujiona wao ni kila kitu. Matokeo yake baada ya ndumba kuishiwa nguvu huwa wanamwagwa kama vile lori linamwaga...
  9. sylla

    Kipi huwezi sahau kwenye mahusiano yako?

    Ni story ipi au jambo gani huwezi lisahau lililo kukuta kwenye mahusiano yako mi nakumbuka siku ya kunza kuaprochi nilitetemeka sana hadi binti niliyekuwa namtongoza mbona unatetemeka vp unaumwa bahat nzuri nilikua sijamtamkia kuwa napenda hapo ndipo nikapata upenyo nilimjibu ndio naumwa ndo...
  10. Kasomi

    Ushauri kwa wanaoingia kwenye mahusiano

    Kabla haujaingia kwenye mahusiano jaribu kuupima moyo wako kwa "KUBET KWA PESA YA KODI" (mpe arsenal ushindi, mpe yanga afunge goli 3, mpe man u ushindi at home ground, bayern munich aongoze halafu achomolewe na afungwe kipindi cha pili, muue simba goli 4 hapo kwa mkapa) Ukiweza hapa, ingia...
  11. Background Check

    Kabla hujaoa nakushauri nunua kamera

    Nashauri tu broo kabla ya kuchumbia nunua kamera. Utakuja kunishukuru. Siku hizi, unapiga picha siku ya engagement, then kuna za kabla ya sendoff na kabla ya harusi, kuna za akishika mimba na mimba ikifika miezi tisa, kuna za baada ya kujifungua na usisahau kuna za birthdays na wedding...
  12. steve_shemej

    Jina steven lina mahusiano gani na movie za kizungu?

    nimejaribu kuchunguza nimebaini kati ya movie kumi za kizungu tisa zinamshiriki anaitwa steven hii imekaaje wakuu
  13. Tumainiely Moshi

    Natafuta mchumba wa kike kuanza nae mahusiano

    Naitwa Junior Mkazi wa DSM nina miaka 27 natafuta mchumba wa kike wa kuanzisha nae mahusiano ya kudumu SIFA: 1.Awe na umri kuanzia miaka 19-25 2.Awe mweupe au maji ya kunde 3.Asiwe mnene sana wala mwembamba sana 4.Dini yeyote 5.Kabila lolote 6.Awe na nidham pamoja na maadili mema 7.akiwa...
  14. Zero Competition

    Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

    Nakumbuka mwaka jana katikati nilipata kufahamiana na single mother mmoja toka kwenye mtandao maarufu wa kijamii. Mwanzoni sikujua kama ni single mother mpaka tulivyoanza kuzoeana ndipo alinambia kwamba ana mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka mitatu alizaa na jamaa mmoja ambae kwasasa...
  15. GeoMex

    Aeleza walivyokubaliana na mume wake kutafuta watoto nje ya ndoa

    Dar es Salaam. Mkazi wa Tabata Liwiti, Magreth Silaeli (37) ameieleza Mahakama ya Mwanzo Buguruni kuwa walikubaliana na mume wake, Raymond Kulaya (44), waachane kwa muda ili kila mtu akatafute watoto “anapopajua” baada ya kuishi miaka mitano bila kupata mtoto. Magreth sasa anaiomba mahakama...
  16. Mboka man

    Vijana mnaotaka kuoa single Mother hebu pitieni hapa

    Kama wewe ni kijana upo ktk mahusiano na single Mother kabla hujamuoa jiulize maswali haya........ . 1.unafahamu chanzo cha yeye kutengana na mzazi mwenzake 2.ushawahi kupata nafasi ya kuzungumza na mzazi mwenzie akupe story zake kiundani mpka walifikia hatua ya kutengana 3.jina la mtoto wake...
  17. Bata batani

    Ushawahi kuingia katika mahusiano na mtu ambaye huna malengo naye ila yeye ana malengo na wewe

    Nakumbuka ilikuwa mwaka 2016, kuna binti nilijikuta naanzisha mahusiano na yeye lakini nilikuwa sina malengo nae ya ndoa ila yeye alikuwa na malengo na mimi ya ndoa, alikuwa anapigania sana nimuoe. Ila mahusiano yetu hayakudumu binti aliniacha kwa sababu alikuwa anaona simtunzi, simpi hela...
  18. April26

    Shetani katawala katika mahusiano

    Wana JF kwema! Kiufupi siku hizi wàpenzi wengi hukutana kupitia njia za shetani kuliko njia za muumba (sahihi). Mfano; msichana anapenda Mali, pesa n.k, toka kwa kijana na kijana nae anapenda chura tuu basi mahusiano button ON. Hizi ni tamaa sio mapenzi. Kama unawaza kuwa na mpenzi kwa...
  19. kilamba lamba

    Nimeamini upole hausaidii chochote kwenye mahusiano

    Habarini wana jamvi. Natumai my wazima humu. Kiukweli bila kupepesa macho, imebidi ty niliyotoe La moyoni. Mahusiano ambayo mwanaume anazidisha upole kwa kudhani ndo anakuwa romantic huwa ni ya mateso makubwa kwa mwanaume na nd ambao mwishoni tunasikia Mara kajinyonga, ooohh mara hamida...
  20. Stiffler88

    Divorced people: Ilikuaje ?, Umejifunza nini na whats your future take moving forward on Marriage/ Relationships

    Kwa miaka ya karibuni Talaka zimekua nyingi sana ? Umri wangu Nipo in early 30's na nmekua kwenye relationships kadhaa ambazo hazikuweza ku mature kuja kwenda ndoa lakini pia nmeona watu wangu wa karibu waliooa wapo ambao ndoa zipo vizuri, wapo ambao wanastruggle na wapo ambao washaachana. So...
Back
Top Bottom