mahusiano

  1. jembe afrika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano ya aina hii ni ya uuwaji kabisa

    Nimejikuta naandika hapa kwa namna nilivyojionea mwenyewe kwenye mahusiano. Unakuta uko kwenye mahusiano na mtu...unamsaidia mambo hata kama si kuyamaliza ila yale ya dharura unayapa kipaumbele, ikumbukwe kila mmoja anashughuli inayomuingizia kipato. Sasa inafikia mwanamme kazi zako zimesimama...
  2. Kifaru86

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unawezaje kuepuka stress na msongo wa mawazo katika mahusiano yako?

    Mahusiano ni kama sanaa kuna wakati mahusiano yanaweza kukupa stress na msongo wa mawazo kiasi kwamba ukajutia kwanini umeingia katika mahusiano huyo mwanamke au mwanaume maana kuna time unaona kabisa what you Give is diffrent from what you receive hali hukupelekea kuwa na stress na mambo...
  3. Muuza simu used

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiachwa halafu hauna mahusiano mengine

    Yaani ukiachwa halafu hauna backup utataabika sana unajua ni ngumu sana kupata demu kama huna demu! Hakikisha unakuwa na backup (sio mchepuko)ili siku ukisikia nyuma geuga unageuka na backup yako kazi inaendelea. Hakikisha unamuweka backup kwenye friend zone siku yale yajayo yanafurahisha...
  4. Author

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

    Habari wadau, Moja kati ya mada muhimu za kuweka mezani siku hizi ni kuhusu uhusiano kati ya watoto na Baba. Imekuwa kawaida kwa mama kupewa kipaumbele kuanzia ngazi ya familia mpaka jamii. Kuna wakati taasisi fulani ilifanya tafiti ndogo ya kuwaambia wanaume waliokuwa wanafanya kazi umo...
  5. j_h_kirigini

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wanashindwa kufanya haya matano?

    1. Lala nae (muhimu kuliko yote) 2. Mlishe ashibe 3. Muheshimu 4. Mwache awe na amani 5. Usimuingilie katika mambo yake. Ni ajabu sana wanawake hawawezi kuyafanya haya matano kwa waume zao, ni kwanini?
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nipo kinyume na kwenda kasi kwenye kurudisha mahusiano na Kenya

    Salaam JF, Hivi karibuni Mhe. Rais Samia alifanya ziara nchini Kenya lengo likiwa kurejesha mahusiano ya kibiashara na kidiplomasia na kujenga zaidi ushirikiano baina ya hizi nchi ili kuipa uimara Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kilichonishtua ni kuona namna haya mahusiano yanavyokwenda kwa kasi...
  7. kidawisee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

    Habari za mida hii ndugu zangu Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua. Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma...
  8. Redpanther

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wale mlio kwenye mahusiano ya muda mrefu mnafanya nini kuhuisha penzi pale linapokuwa limepoa?

    Habari za wakati huu wanajamvi pendwa la MMU. Ni siku ya tarehe 05/05/2021 kwa wale ambao siku ya jana 04/05/2021 ilikuwa siku ndefu poleni na wale ilikuwa kinyume chake hongera kwenu. Acha niende kwenye hoja moja kwa moja. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti wa mtu kwa mwaka na kitu sasa...
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mke aliye tayari kwa ndoa halali

    Mimi ni Kijana Me Umri 32 Rangi: Mweupe wastan Mwajiriwa wa serikalini pia nimejiajiri Sijawahi oa wala sina mtoto Dini: islam Elimu: Bachelor Degree Height: 5.7 Umbo : wastan si mnene wala mwembama sana Mke anayehitajika Umri:22-29 Itapendeza zaidi kama atakuwa mwembamba wastan Rangi: Mweupe...
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho: Tangu niachane naye nishapita na mahusiano na watu watatu lakini bado sijapata nitakako

    Wadau natumai mko poa. Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati...
  11. Gulio Tanzania

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna athari kuoa mwanamke anayeanza mahusiano kwa vizinga

    Ukweli bado vijana wengi tuna dhana ile tunaamini mwanamke ambaye hakuombi hela ndo anafaa kuwa mke sasa limeibuka wimbi kubwa la wanawake wapiga mizinga ukisikiliza maoni ya vijana wanasema wanawake hawa ni hit and run hawafai kuolewa. Sasa nimeamua kuleta mada ili tupeane uzoefu kwa wanaume...
  12. Kifaru86

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha wanawake kuzalishwa na kutelekezwa na wanaume?

    Ushawahi kijiuliza ni kwanini wanawake wengi miaka ya hivi karibuni wamekuwa wakizalishwa na kutelekezwa ni wapi wanapokosea! Mpka mwanaume anamzalisha na kumtelekeza ina maana hakukuwa na makubaliano kuhusu mtoto na mimba itakuwaje au mwanamke aliamua tuu kumtegeshea mwanaume wakati mwanaume...
  13. kityentyee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaumia zaidi mahusiano yanapovunjika?

    Salaamuni wakuu. Mahusiano yanapo vunjika either ya mke na mume au wapenzi tu wa kawaida walioshibana ikatokea sintofahamu baina yao hadi kupelekea kuachana je kati ya Me au Ke.... 1: Nani huwa anaumia zaidi kuliko mwenzie? 2: Nani mwenye hasara zaidi kuliko mwenzie? (who is mostly at a loser...
  14. kityentyee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnawezaje kucheat & at the same time mkaweza kumaintain upendo wenu kwenye mahusiano yenu?

    Salaamuni, Eti wadada hivi kuna kauwezekano nyie mkachepuka and still mkamaintain ule upendo wenu kwenye mahusiano yenu? maana to be honest kuna mwanamke nimedumu nae kwenye mahusiano for almost miaka miwili sasa lengo langu likiwa nijiweke sawa ili nipate uhakika wa kuishi nae mtoto wa watu...
  15. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano Kati ya Kijana, Mama wa Kijana, dada wa Kijana na mke wa Kijana

    Nimetafakari Sana Mahusiano ya watu tajwa hapo juu, Yan kabla ya kijana kuoa na baada ya kijana kuoa. Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani na upendo baina ya kijana, Mama wa kijana na (ma)dada wa Kijana. Lakini baada ya kijana kuoa na...
  16. Gepard

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekaa kwenye mahusiano miezi 7 na mtu ambaye sikudhania

    Mwaka 2018 nlienda kumsalimia dogo wangu wa kiume shuleni kwao boarding. Kipindi hicho nipo chuo mwaka wa pili. Tulipiga story sanaa na kuzunguka mazingira ya shule, akanitambulisha kwa marafiki zake wengi wakiume na wakike pia. Kwa kweli ni mtu wa watu. Kwa hili: , Dogo popote ulipo kaka yako...
  17. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuchepuka, Nguvu ya kuanzisha mahusiano

    Kiasili, kati ya mwanamke na mwanaume mmoja wapo akipenda na kuamua kumpata yule alie mpenda, kwa mwanamke ni rahis sana kumpata mwanaume alie mpenda. Kwahiyo tukiwa ndani ya mahusiano, mwanaume anapotiza mwanamke mwingine na kuona ni mzuri si hatari sana kama mwanamke atakapo angalia mwanaume...
  18. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitanda kikubwa huchangia mahusiano ya ndoa kudorora

    Kuna mdau anasema bora avunje vunje kitanda chake cha sasa maana anaona tofauti kubwa kati kitanda kikubwa na kidogo. Anasema alipooa alikuwa anatumia kitanda cha futi 4 kwa 6 na walikuwa hawakai kipindi kirefu bila kupatana na mke wake ikiwa wamehitilifiana tofauti na sasa. Anasema akiwa...
  19. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usidanganyike kuwa Mahusiano ni "kusikilizana" utaachwa. Ukweli ni lazima mmoja amsikilize mwenzake ndio mtadumu

    Siongezi neno wala kupunguza. Mahusiano ya kusikilizana huwa nikuongopeana. Ukweli wa mahusiano yanayodumu ni yale mmoja lazima amsikilize mwingine. Mfumo wa mahusiano ulivyo ni wa HEAD and TAIL! (Kichwa na mkia) Treni hata kama ina vichwa viwili lakini shuruti kimoja lazima kiwe mkia ndo...
  20. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usidanganyike kuwa Mahusiano ni kusikilizana utaachwa, Ukweli ni lazima Mmoja amsikilize mwenzake ndo mtadumu!

    Siongezi neno wala kupunguza! Mahusiano ya kusikilizana huwa nikuongopeana! Ukweli wa mahusiano yanayodumu ni Yale mmoja lazima amsikilize mwingine! Mfumo wa mahusiano ulivyo ni wa HEAD and TAIL! (Kichwa na mkia) Treni hata kama ina vichwa viwili lakini shuruti kimoja lazima kiwe mkia ndo...
Back
Top Bottom