Professor jr
Member
- Apr 24, 2019
- 30
- 28
Dhamira ya mapenzi imekuwa ni chumvi kwenye maisha ya kila siku lazima iwepo ili kuwe na radha ya maisha ila isizidi maana inakera na isipungue maana inabaoa.
Hivyo leo nimeona nije na uzi huu nadhan mwanamke anapenda mwanaume anavyoonesha kumtamani kingono na kama upo kwenye mahusiano ukaonesha hamuhitaji au humtamani mwanamke wako kingono inamfanya apoteze ujasiri na kujiuliza maswali mengi sana.
Sasa kwenye mahusiano wanaume wengi wamekuwa wakionesha kumtaman sana mwanamke kingono na hii Imekuwa silaha kubwa sana kwa wanawake wengi maana wamekuwa wakitumia hii kama njia ya kupiga mizinga na ndio maana karibu kila mwanamke huhitaj nauli pale anapo enda kwa mwanaume.
Lakini uhalisia mwanamke huwa anashidwa kumtafsiri mwanaume ambaye haonyeshi kumtaka kingono kwenye mahusiano hii inafanya wanawake wengi wakose cha kufanya na kuhisi labda una mwanamke mngine.
Kwa maana wao huamin mwanaume lazima amtaman hvyo kutofanya hvyo kunafanya abaki na taharuki asijue cha kufanya.
Mwisho napenda kuasa vijana wa kiume kutumia hii elimu ndogo kutengeneza akili za wanawake wao hawataki kuonyesha ngono inakupelekesha sana hii itafanya upigwe sana mizinga.hii pia itasaidia sana kuongeza productivity kwa wanawake wengi kwenye mahusiano maana lazima ajiongeze .
Hivyo leo nimeona nije na uzi huu nadhan mwanamke anapenda mwanaume anavyoonesha kumtamani kingono na kama upo kwenye mahusiano ukaonesha hamuhitaji au humtamani mwanamke wako kingono inamfanya apoteze ujasiri na kujiuliza maswali mengi sana.
Sasa kwenye mahusiano wanaume wengi wamekuwa wakionesha kumtaman sana mwanamke kingono na hii Imekuwa silaha kubwa sana kwa wanawake wengi maana wamekuwa wakitumia hii kama njia ya kupiga mizinga na ndio maana karibu kila mwanamke huhitaj nauli pale anapo enda kwa mwanaume.
Lakini uhalisia mwanamke huwa anashidwa kumtafsiri mwanaume ambaye haonyeshi kumtaka kingono kwenye mahusiano hii inafanya wanawake wengi wakose cha kufanya na kuhisi labda una mwanamke mngine.
Kwa maana wao huamin mwanaume lazima amtaman hvyo kutofanya hvyo kunafanya abaki na taharuki asijue cha kufanya.
Mwisho napenda kuasa vijana wa kiume kutumia hii elimu ndogo kutengeneza akili za wanawake wao hawataki kuonyesha ngono inakupelekesha sana hii itafanya upigwe sana mizinga.hii pia itasaidia sana kuongeza productivity kwa wanawake wengi kwenye mahusiano maana lazima ajiongeze .