Nimetafakari, nikaona nipate pia mawazo wanafikra weledi juu ya baadhi ya kauli zenye utata za viongozi kwa wananchi
Je, huu ni uungwana kweli?
Kauli tata za vingozi wa Tanzania
Mtakula nyasi lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe (MRAMBA)
Ukitaka kula inabidi ukubali na wewe kuliwa (J...