Katika hali isiyo ya kawaida, Madikteta wote duniani huondoka kwa staili moja ya fedhea sana.
1. Muamar Gaddafi.
2. Saddam Hussein.
3. Al Bashir,
4. Mohamed Mosri.
5. Mugabe
6 .Sankara na wenzao waliondoka kwa aibu kubwa , sasa leo huyu mtu anayedhani yeye ndiye kila kitu huenda akaondoka...