Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kuna Mambo hayasemwi kwa uwazi kwasababu ya busara ambazo Ni sahihi tukumbuke Magufuli anaongoza watu milioni 60 na sio familia ya mke wa John Pombe Magufuli na mama jeska // Magufuli Ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yeye Kama binadamu Kuna Mambo atakosea ila kwa uongozi wa watu 60M sio rahisi kutekeleza matakwa ya kibinafsi au ya makundi ya wachache.
Makala yangu itajikita katika mazuri ya Rais John Joseph Pombe Magufuli ambayo kimsingi sisi watesi wake au tunaomchukia hatuyasemi kwa uwazi.
Naomba ku declare interest kwamba Mimi ni mpinzani wa CCM na hasa Magufuli mwenyewe ila Kuna Mambo mema ambayo kwakweli nisipomsifu yeye binafsi Nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu.
Nitatumia uwanja huu kuongelea mazuri ya MH Rais John Joseph Pombe Magufuli ambayo kwakweli binafsi nimeyaona ;
Magufuli Leo kuna mahali nimepata ukweli mwema kuhusu wewe Rais wangu naomba niamini chanzo kile.
My Rais Kama niliyoambiwa Ni yakini basi wewe Ni jembe nguli hakika ila njia inayotumiwa kuonyesha Nia yako ni ndefu Sana wasioielewa tunalaumu :
NB: CCM Hamhusiki na uzi huu msijipendekeze
Makala yangu itajikita katika mazuri ya Rais John Joseph Pombe Magufuli ambayo kimsingi sisi watesi wake au tunaomchukia hatuyasemi kwa uwazi.
Naomba ku declare interest kwamba Mimi ni mpinzani wa CCM na hasa Magufuli mwenyewe ila Kuna Mambo mema ambayo kwakweli nisipomsifu yeye binafsi Nitakuwa sijaitendea haki nafsi yangu.
Nitatumia uwanja huu kuongelea mazuri ya MH Rais John Joseph Pombe Magufuli ambayo kwakweli binafsi nimeyaona ;
Magufuli Leo kuna mahali nimepata ukweli mwema kuhusu wewe Rais wangu naomba niamini chanzo kile.
My Rais Kama niliyoambiwa Ni yakini basi wewe Ni jembe nguli hakika ila njia inayotumiwa kuonyesha Nia yako ni ndefu Sana wasioielewa tunalaumu :
NB: CCM Hamhusiki na uzi huu msijipendekeze