Duniani kila kitu kina pande mbili, wema na ubaya, mbele na nyuma bila kusahau juu na chini.
Siko hapa kuongelea mabaya ya Kangi Lugola maana atayaongelea mwingine. Mimi naongelea jambo moja tu ambalo ni miongoni mwa mazuri mengi aliyoyafanya katika kipindi kifupi cha uongozi wake.
Bodaboda...