G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani ambaye kimsingi ni moja ya viongozi wanaoheshimika sana duniani anaitangazia dunia kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda anadhulumu haki ya mtu kuishi ( Anaua watu) na dunia nzima inasambaza habari hizo.
Ukija hapa Tanzania utaambiwa na serikali ya CCM kuwa Paul Makonda ni moja ya watu muhimu, wachapa kazi, na mbaya zaidi alifanikiwa kuwa " fool" viongozi wa dini nao wakamuamini. Tunajiuliza ni kwanini akumbatiwe sana na Rais Magufuli?
Ukija hapa Tanzania utaambiwa na serikali ya CCM kuwa Paul Makonda ni moja ya watu muhimu, wachapa kazi, na mbaya zaidi alifanikiwa kuwa " fool" viongozi wa dini nao wakamuamini. Tunajiuliza ni kwanini akumbatiwe sana na Rais Magufuli?