Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,379
- 30,829
Ndugai na magufuli hatutawasahau kamwe katika historia ya taifa letu.
Hatutasema neno mtajipima wenyewe Mambo mliyoyafanyia taifa hili katika kipindi Cha uongozi wenu.
Legacy mnayoiacha kizazi chetu kitawakumbuka daima milele.
Mjipime mjitafakari wenyewe Kama mnastahili taji la enzi au taji la miba.
Tunamshukuru Mungu kwa yote pengine aliwaleta makusudi ili vizazi vijavyo vitambue umuhimu wa katiba upendo uhai wa watu na ustawi wa maisha yao.
Katika kipindi Cha uongozi wa mihimili hii miwili tumeona mengi na mioyo yetu imehifadhi mengi juu yenu tutaendelea kumuomba Mungu kwa unyenyekevu ili nyie wawili mtuvumilie nasisi milioni 60 tuwavumilie.
Tunapoyakabili majaribu ya dunia yanayoletwa na siasa za Aina yenu mlizozileta Tanzania tunawaombea afya njema ili muione Tanzania ijayo baada yenu.
Mungu ibariki Africa.
Mungu ibariki Tanzania.
Hatutasema neno mtajipima wenyewe Mambo mliyoyafanyia taifa hili katika kipindi Cha uongozi wenu.
Legacy mnayoiacha kizazi chetu kitawakumbuka daima milele.
Mjipime mjitafakari wenyewe Kama mnastahili taji la enzi au taji la miba.
Tunamshukuru Mungu kwa yote pengine aliwaleta makusudi ili vizazi vijavyo vitambue umuhimu wa katiba upendo uhai wa watu na ustawi wa maisha yao.
Katika kipindi Cha uongozi wa mihimili hii miwili tumeona mengi na mioyo yetu imehifadhi mengi juu yenu tutaendelea kumuomba Mungu kwa unyenyekevu ili nyie wawili mtuvumilie nasisi milioni 60 tuwavumilie.
Tunapoyakabili majaribu ya dunia yanayoletwa na siasa za Aina yenu mlizozileta Tanzania tunawaombea afya njema ili muione Tanzania ijayo baada yenu.
Mungu ibariki Africa.
Mungu ibariki Tanzania.