Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Alijua athari ya kujipendekeza kwa Mabeberu nini kingetokea
Jiulize kwa mfano wanasema wanamwekea Vikwazo asisafiri yeye Magufuli kwenda Marekani Dunia ingewashangaa
Magufuli ukiangalia Safari yake ya kisiasa ni hatua ambazo mwenyezi Mungu alimpangia azipite na mpaka kusudio LA Mungu likamilike
Kwa hiyo hayo Mabeberu yanajisumbua tu misaada wanayoiiita misaada ni mbinu tu za kutafuta masoko ya bidhaa zao
Misaada wanayosema wanatupa ina faida kwao kuliko kwetu
Madini yetu na rasilimali zetu ndizo mkombozi wetu kuliko haya mashoga yanayohimiza tuoane wanaume kwa wanaume
Jiulize kwa mfano wanasema wanamwekea Vikwazo asisafiri yeye Magufuli kwenda Marekani Dunia ingewashangaa
Magufuli ukiangalia Safari yake ya kisiasa ni hatua ambazo mwenyezi Mungu alimpangia azipite na mpaka kusudio LA Mungu likamilike
Kwa hiyo hayo Mabeberu yanajisumbua tu misaada wanayoiiita misaada ni mbinu tu za kutafuta masoko ya bidhaa zao
Misaada wanayosema wanatupa ina faida kwao kuliko kwetu
Madini yetu na rasilimali zetu ndizo mkombozi wetu kuliko haya mashoga yanayohimiza tuoane wanaume kwa wanaume