technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,954
- 48,751
Hakuna mtu mwenye ubavu wa kufanya jamba analochukia bosi wake na akabaki salama makosa yote yaliyotajwa na Marekani ni makosa yanayoungwa mkono na rais wetu so wakuwajibika hapa ni Makonda au Magufuli? tuache unafiki anayetakiwa kuwekewa vikwazo ni Magufuli.