johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Serikali ya Marekani inayoongozwa na Rais Donald Trump imefurahishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya 5 na imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi.
Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kisasa ya kijeshi.
Sherehe ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi ya Kunduchi na mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ulinzi Mh Mwinyi.
Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na Mkuu wa majeshi General Mabeho na Naibu balozi wa Marekani nchini.
Source: ITV Habari
Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kisasa ya kijeshi.
Sherehe ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi ya Kunduchi na mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ulinzi Mh Mwinyi.
Sherehe hizo zilihudhuriwa pia na Mkuu wa majeshi General Mabeho na Naibu balozi wa Marekani nchini.
Source: ITV Habari