mabeberu

  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Sababu za Majaliwa Kuwekwa bench Mkutano wa Mabeberu

    Uwanja wa Diplomasia tumefuatilia baadhi ya mijadala mitandaoni na kuona watu wakiuliza kwa nini Waziri Mkuu alikaa nyuma ikiwa yeye alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Mkutano wa Russia-Africa pale Sochi? *JIBU NI HILI.* Kwa...
  2. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Sammata anyimwa goli UEFA, mabeberu wahusishwa

    Katika hali isiyo ya kawaida Mbwana John Sammata alikuwa anaweka historia nyingine lakini mabeberu wakamnyima kwa kutumia VAR. lile ni goli kabisa la wazi na baada ya hapo Genk walikata tamaa na kujutia kucheza UEFA. WAMELALA KWA GOLI 4-1 , LAKINI NA BADO NI USHINDI MKUBWA KWA SAMATTA NA SIMBA...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, usikubali huu mtego wa huyu waziri; atakuwa anatumiwa na mabeberu

    Inaonekana anatumiwa na mabeberu kukushushia credibillity kwa wanyonge. Wewe ushafanya utafiti kabla ya maamuzi kwamba tunaweza KULIPA, KUSAFIRISHA AU KUBANGUA KOROSHO WENYEWE Ulisema, hela tayari zipo benki ya wakulima, zishaingizwa. Ulisema ikibidi wanjeshi hata kwa meno watabangua. Nchi...
Back
Top Bottom