Uwanja wa Diplomasia tumefuatilia baadhi ya mijadala mitandaoni na kuona watu wakiuliza kwa nini Waziri Mkuu alikaa nyuma ikiwa yeye alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Mkutano wa Russia-Africa pale Sochi?
*JIBU NI HILI.*
Kwa...
Katika hali isiyo ya kawaida Mbwana John Sammata alikuwa anaweka historia nyingine lakini mabeberu wakamnyima kwa kutumia VAR.
lile ni goli kabisa la wazi na baada ya hapo Genk walikata tamaa na kujutia kucheza UEFA.
WAMELALA KWA GOLI 4-1 , LAKINI NA BADO NI USHINDI MKUBWA KWA SAMATTA NA SIMBA...
Inaonekana anatumiwa na mabeberu kukushushia credibillity kwa wanyonge.
Wewe ushafanya utafiti kabla ya maamuzi kwamba tunaweza KULIPA, KUSAFIRISHA AU KUBANGUA KOROSHO WENYEWE
Ulisema, hela tayari zipo benki ya wakulima, zishaingizwa.
Ulisema ikibidi wanjeshi hata kwa meno watabangua. Nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.