nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Mabeberu meusi yameingia kwenye vita na Tanzania, vita ya kiuchumi imenoga tunaonewa wivu kila kona hadi na weusi wenzetu, hii inamanisha kwamba tupo pazuri mnooo,haijawahi kutokea tangu uhuru
Hii ni ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikiisuta awamu ya tano.
Hii ni ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikiisuta awamu ya tano.