mabadiliko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samcezar

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

    Unajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi.
  2. mshale21

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Vifurushi vya mitandao Tanzania: Je, tutarajie nini?

    Wakuu habarini, Leo umekuwa Ni mwendo wa kutumiwa taarifa kuwa tar 16/8/2021 kutakuwa na mabadiliko ya Vifurushi! Ikumbukwe miezi kadhaa iliyopita, sakata la mabadiliko ya Vifurushi lilitrend Sana nchini, huku wananchi wakilalamikia kwa nguvu zote ukandamizwaji ulioonekana kupita kiasi, suala...
  3. demigod

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania TFF Yatoa Rukhsa Klabu Za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 Wa Kigeni

    Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu. Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12 Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Utetezi wa Sabaya kuwa alifanya uhalifu kwa amri ya mamlaka iliyomteua ni sababu kubwa kwa nini Tanzania tunahitaji mabadiliko ya Katiba

    Naamini kwa dhati kabisa kile alichosema Sabaya, kwamba matendo ya kihalifu aliyofanya Arusha ilikuwa maagizo toka mamlaka iliyomteua na alipaswa kutii. Sabaya ameenda mbali, akasema haikuwa mara ya kwanza kupewa maagizo kama hayo. Na ni wazi kwamba Sabaya kama Mkuu wa Wilaya nje ya Arusha...
  5. Tyler Durden

    JamiiForums Tanzania SoC01 Je, umejiandaa na mabadiliko ya mfumo wa fedha?

    Katika hatua za mwanzo kabisa za Maisha ya mwanadamu hakukuwepo na kitu kinaitwa Pesa. Njia pekee ya kununua na kuuza ilikuwa ni kupitia mabadilishano. Unahitaji ngombe wangu unanipa gunia kadhaa za mahindi. Tumemalizana, kitaalamu iliitwa Barter Trade). Mfumo huu ulikuwa na mapungufu mengi...
  6. Shujaa Mwendazake

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

    Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika- Mo - "Time ya Ushindani (FCC) imeshatupa ruhusa, hivyo mchakato wa mabadiliko ya Simba umekamilika, tumepewa vipengele vichache vya kufanyia kazi kama kutoa fedha," - Mohammed Dewji. ==== MWENYEKITI wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo...
  7. Reginald L. Ishala

    JamiiForums Tanzania Na wewe umepokea ujumbe huu wa tozo za huduma ya Simbanking?

    U hali gani, Mwana JamiiForums Nimepokea ujumbe toka Tigo Tanzania unaosema, Ndugu, Mteja! Kuanzia JULY 26, 2021 kutakuwa na tozo ya Sh 100 kupitia salio la kawaida la muda wako wa maongezi kwa kila atakayetumia huduma yoyote ya Simbanking sanjari na kuangalia salio. Je, Na wewe umepokea...
  8. Shadow7

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabadiliko sheria tano za soka kutoka FIFA, kuchezwa dakika 60, kadi za njano na mengine

    Shirikisho la mpira wa miguu ulimwenguni FIFA, lipo katika kufanya majaribio ya mabadiliko ya baadhi ya sheria ambazo huwenda zikaja kuanza kutumika siku za usoni huku lengo kuu ikiwa ni kuuboresha zaidi mchezo huo pendwa. Majaribio hayo yameanza kufanywa kwenye Mashindano ya Vijana...
  9. Bams

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, bila mabadiliko ya msingi ya Sheria hutapata wawekezaji makini

    Natambua kuwa Rais Samia anataka kuvutia uwekezaji wa ndani na nje lakini hajagusa maeneo ya msingi ambayo yanaangaliwa na wawekezaji. 1) Nchi ambayo sheria za kodi zinabadilishwa kila mwaka, kamwe haiwezi kuvutia uwekezaji mkubwa kutoka kwa wawekezaji makini Kati ya vigezo vikubwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msingi wa mabadiliko

    Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote. Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
  11. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania SoC01 Pendekezo: Mfumo mbadala wa Manunuzi ya Umeme

    Umeme ni hitaji muhimu katika maendeleo ya kila taifa na mtu binafsi,kwa kuwa umeme huzalishwa kwa gharama kubwa na serikali hivyo serikali haina budi kuuza umeme kwa watumiaji kupitia shirika lake la umeme TANESCO.Kwa sasa Tanesco kwa asilimia kubwa ya wateja wake wananunua umeme kupitia...
  12. L

    JamiiForums Tanzania SoC01 Hewa ya ukaa na mabadiliko ya tabia ya nchi

    Hewa ya ukaa ni hewa inayotokana na vitu mbalimbali hasa Shughuli za kibinadamu kama vile viwanda,usafirishaji,uchomwaji misitu na vichaka wakati wa uandaaji wa Mashamba kwa ajili ya kilimo . Hewa ya ukaa ni moja kati ya hewa yenye uchochezi mkubwa wa mabadiliko ya tabia ya nchi. Hewa ya...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya miamala ya kutuma hela na kutoa

    Siku chache zilizopita limekuwa na sintofahamu juu ya mabadiliko ya viwango vya miamala katika mitandao yote nchini, kupanda kwa miamala ya kutuma hela na kutoa hela Jambo ambalo linaendelea kupamba Moto kwani kila mtumiaji wa simu Jambo hili linampa kigugumizi hasa katika njia au kipengele Cha...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania SoC01 Utunzaji wa Mazingira, Mabadiliko tabia ya nchi na maendeleo ya nchi yetu

    Tunayategemea mazingira, tunaishi ndani yake, hapana Shaka bila ya mazingira maisha yetu hayawezekaniki, pengine niseme, Sisi ni watoto wa mazingira, nayo ndiyo Mama yetu anayetulea Kwa kutupatia kila tunachokihitaji, hata hivyo katika Mazingira vipo vitu vingi hasa, vingine hata hatujui kazi na...
  15. J

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya sekta ya elimu

    Elimu tunayosoma saivi ni kizuizi cha kufikirii na kwa wahitimu na nikikwazo cha ubunifu kwa vijana na hutengeneza vijana ambao ni tegemezii hawawezii kuona fursa katika jamii. Kuliko tuendelee kufundisha elimu ambayo inawajenga vijana kuajiriwa na kuwa tegemezii kwa taifa ni wakatii sasa wa...
  16. G

    JamiiForums Tanzania Ishi ndoto yako

    Toka miaka ya tisini na pengine miaka ya ya sitini mpaka themanini, ahadi zilikuwa nyingi sana, ndoto kwa vijana zikawa nyingi Sana, watu wakawa na matarajio makubwa, na pengine wakatamani wayaishi matarajio hayo na ndoto zao. Walitamani maisha mazuri, maisha ya amani, lakini sio amani tu...
  17. E

    JamiiForums Tanzania SoC01 Badili mtazamo wako juu yako na utaona mabadiliko kwenye maisha yako

    Waelewe watu usiwahukumu watu Binadamu hufanya maamuzi kwa hisia alizonazo kwa wakati huo Akiongea maneno mazuri au mabaya anafanya hivyo kwa sababu ya hisia zake kwa wakati huo sio kwa sababu yako Hisia zake zikibadilika na matendo yake hubadilika Kila kitu huanza kwenye fikra na ikiwa mtu...
  18. MulegiJr

    JamiiForums Tanzania SoC01 Mabadiliko ya Mfumo wa Rufaa ya Matibabu (Medical Referral System)

    MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwaajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika. Rufaa ya Matibabu hutolewa kulingana na...
  19. Manka leonce

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko kwenye nyanja za Uchumi, Afya, Biashara, Afya Maendeleo ya Jamii, Utawala Bora na Uwajibikaji, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia

    Serekali ya Tanzania ya awamu ya sita Ili kuinua uchumi wa Taifa kwanza linatakiwa kuwa utawala Bora siasa safi, Amani ya kwa wote usawa ,ukusanyaji wa kondi ,elimu Bora ,afya nk Uchumi: suala la uchumi linatakiwa liangaliwe kwenye jicho la karibu na elimu itolewe kwa walipa Kodi Ili kukuza...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Reli ya Kisasa ya SGR yaleta mabadiliko katika sekta ya uchukuzi wa shehena na abiria nchini Kenya

    Ikiwa ni zaidi ya miaka minne sasa tangu reli ya kisasa ya Mombasa-Nairobi nchini Kenya kuanza kutumika, sekta ya uchukuzi wa shehena na abiria imepata mabadiliko makubwa na kusaidia ukuaji wa uchumi na ajira. Kufikia sasa, zaidi ya abiria milioni tano wamefaidika na uchukuzi wa bei nafuu...
Back
Top Bottom